VAPS
JF-Expert Member
- Jul 10, 2012
- 5,611
- 13,160
Yapo baadhi ya makampuni ya simu yanatoa mikopo huduma za kifedha kwa mashariti kumnyonya mlaji.
Rejea mfano Shariti huduma Songesha, mteja anapewa mkopo ukiwa na ada na riba siku 30! Wanaita OD, overdraft! Ndipo tatizo lilipo badala kusubiri siku 30 ! Wizi upo wapi? Endapo utaomba OD hiyo..songesha kukamilisha, wao watakata pesa yote yenye hesabu ya mwezi, muamala utakaoingia katika Akaunt yako, hata baada ya dk moja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Rejea mfano Shariti huduma Songesha, mteja anapewa mkopo ukiwa na ada na riba siku 30! Wanaita OD, overdraft! Ndipo tatizo lilipo badala kusubiri siku 30 ! Wizi upo wapi? Endapo utaomba OD hiyo..songesha kukamilisha, wao watakata pesa yote yenye hesabu ya mwezi, muamala utakaoingia katika Akaunt yako, hata baada ya dk moja.
Sent using Jamii Forums mobile app