Wanapiga kelele lakini waulize terms and conditions na privacy policy walizisoma wakati wanalalamikia? nawaekea hapa ya mtandao wa tigoHawa wagumu kuelewa unajisumbua Kama ni kosa si waende mahakamani ,sasa wanalialia nyuma ya keyboard hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanapiga kelele lakini waulize terms and conditions na privacy policy walizisoma wakati wanalalamikia? nawaekea hapa ya mtandao wa tigoHawa wagumu kuelewa unajisumbua Kama ni kosa si waende mahakamani ,sasa wanalialia nyuma ya keyboard hapa
Makubwa aliyoyafanya anastahili kuitwa Mzalendo wa kweli...alinifurahisha alivyotuongoza katika mapambano na COVID 19.Mkuu kwa uzalendo upi? Wa kutoka watu na kunyima watu haki zao?
Yamemfika shingoniHa ha ha ...Magufuli ni kama maji usipoyanywa utayaoga....
Mbona kuna matangazo mengi yanakuja bila mtu kutahitaji wala kuyaombaHuu mchezo hawajaanza Leo, Vodacom na Airtel ndo zao. Wamempa access JPM ya database za wateja wao.
Natamani watu waende mahakamani kwa hili ili haya makampuni yalipishwe fidia ya kutosha.
Kabla ya kutumia line ya simu, ningekuona mwerevu kama ungesoma Terms and conditions na privacy policy. Sio unakuja hapa unalia lia kitu kisa upumba.vu wako mwenyewe.Halafu ushabiki wako maandazi ni wewe, ctaki kutumiwa message ya mwanasiasa yoyote na sina upumbavu wa vyama Mimi kwani ndio wanaonilisha, tumiweni nyie makada wa wanasiasa, mie upumbavu wa wanasiasa kutafta ugali wao unanihusu nini sasa. Ka ujue wengine hatu mind wanasiasa hata kuwaona tu kichefu chefu.
Kwahiyo kabla ya hii miaka mitano watu hawakuwa wakitaabika walikuwa wakiishi kwa raha chini ya uongozi wa serikali ya ccm?2020 mambo mengi yatabadilika kumbuka watu wametaabika kwa miaka mitano
CDM au Chadema nao waende wakaombe kwa wenye mitandaoHuko ni kuingilia uhuru wa watumiaji wa simu, wanajua kabisa wateja wao watakuwa na itikadi tofauti kwanini watume meseji za kumpigia kampeni mgombea wa CCM?
Kuna wajinga watasema ni haki yao kwasababu CCM wamelipia, watambue CCM wamewalipa hao wenye makampuni ya simu hawajawalipa watumiaji, haya mambo ya kujipendekeza kwa CCM yakome, wanastahili kushtakiwa.
Mmeshinda njaa?Kaa na ujinga wako, CCM lazima tushinde mpaka sasa tumeshashinda.
Wewe ndio uache ujinga, Nani kakwambia sijui hzo ndio maana Sheria nazo hubadilika maana hupitwa na wakati, Toka lini Mambo ya wanasiasa ikawa advertisement. MfyuuuKabla ya kutumia line ya simu, ningekuona mwerevu kama ungesoma Terms and conditions na privacy policy. Sio unakuja hapa unalia lia kitu kisa upumba.vu wako mwenyewe.
Haya soma hii screenshot uache ujinga;
View attachment 1603781
Wananchi hawahawa wanaojazana kwenye mikutano ya ccm huku wakinyeshewa na mvua na kupigwa na jua?Uhuni huu ukomeshwe kwanza kwa kumnyima kura huyo ili wajue kwamba wananchi wameamka
Hawa ni washamba, wenzao walikuwa wanatuma ila ilikuwa siku moja kabla ya uchaguzi. Sasa wanatupa wananchi muda wa kuwabana vizuri.
Ndio nauliza nna kampuni yangu naweza kwenda tigo niwalipe wanirushie matangazo kwa sms kwa wateja wao woootee?Kabla ya kutumia line ya simu, ningekuona mwerevu kama ungesoma Terms and conditions na privacy policy. Sio unakuja hapa unalia lia kitu kisa upumba.vu wako mwenyewe.
Haya soma hii screenshot uache ujinga;
View attachment 1603781
Wewe mbona hujatumiwa mwamba???Kutumiwa meseji na Mh. rais ni jambo la baraka sana
Ahahahahahaha! ama kweli wajinga hawaishi duniani..... Advertisement, maana yake ni Tangazo, haijaalishi category ya tangazo, wazungu wanaita campaign ads!Wewe ndio uache ujinga, Nani kakwambia sijui hzo ndio maana Sheria nazo hubadilika maana hupitwa na wakati, Toka lini Mambo ya wanasiasa ikawa advertisement. Mfyuuu
Nenda ofisi zao, hizo huduma zipo. Wewe watakwambia tu bei, sasa kama unaweza kulipia sio tatizo wao kutuma kwa kila mtu. Suala la kuwa fujo au si fujo wao haliwahusu, wakati unanunua line yao kuna maelezo wengi hatusomi mwisho wa siku tunakuta wajinga kama huyo bidada mmoja anakuja kulalamika!Ndio nauliza nna kampuni yangu naweza kwenda tigo niwalipe wanirushie matangazo kwa sms kwa wateja wao woootee?
Na kama ni yes, si ingekua fujo kwenye simu zetu zina jam kwa matangazo lukuki.
Hao watanzania wenye akili wako wapi? si hao mnaosema wanaenda kwenye mikutano ya ccm kwa ajiri ya kuona wasanii tu? sasa hao watu wana akili kweli?CCM mwaka 2020 walidhani watatumia miradi ya flyover SGR ujenzi wa bwawa la umeme ununuzi wa Ndege miradi ya kifisadi miradi yenye 10% za wajanja wachache, miradi isiyoguswa na CAG, watanzania wenye Akili timamu hawawezi kushabikia CCM inayofanya mambo ya hovyo na kugeuza miradi ya umma kwa pesa za walipa kodi kuonekana ni Hisani za CCM, utazani CCM wanachukua pesa zao binafsi tokea mfukoni mwa polepole na Bashiru na mtukufu magufuli.
Ina maana umma wote ule ulikuwa umelipwa? maana bora ingekuwa mvua wakati inanyesha wengine waliondoka na hao waliyobaki kunyeshewa ndio tuseme walifanya hivyo kwa sababu walilipwa.Wale walionyeshewa siku ile walilipwa. Mjini hapa
Sasa kama ni hivyo kwanini 2015 ilitumika nguvu kubwa ya hadi kumchukua Lowassa na kuunganisha vyama? ina maana ilifanyika hivyo ili kukabiliana na hivyo vyombo?CCM bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm bila uchakachuaji bila wizi wa kura ni weupe sana
Kifupi ni itoshe kusema ya kuwa jamaa hawakujiandaa kabisa na ushindani hesabu zao zimekuwa ni tofauti kabisa na aliewashauri🤣🤣🤣🤣✌✌✌mambo yamekuwa mazito mno