LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 9,211
- 12,716
Haahaa mi kwangu sijatumiwa mkuu nasubiri nitumie nianze na kampuni kwanzaSi uende wewe mkuu unaogopa nini,utaingia barabaran trh 28 kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haahaa mi kwangu sijatumiwa mkuu nasubiri nitumie nianze na kampuni kwanzaSi uende wewe mkuu unaogopa nini,utaingia barabaran trh 28 kweli
Mkuu kwa uzalendo upi? Wa kutoka watu na kunyima watu haki zao?Kazi nzuri sana October 28th kura za ndio ni kwa JPM.
Tujitokeze kwa wingi kwenda kupiga kura October 28th na niwasihi tumpigie Mzalendo JPM
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Unaona ulivyo mjinga sasa? Sasa ulitaka utumiwe meseji ya kampeni 2017? Rudia kusoma post zangu za nyuma utaona nilivofupisha haya mambo huwa yanafanywaje. Tatizo lako wewe ni mtumwa wa siasa tu ndio mana unabweka kijinga, zingekuwa za chama chako pendwa ungeufyata kimya.Mimi sijawahi kutumiwa before why now, kwanza kwanini utoe taarifa zangu kwa wanasiasa ndio concern yangu, pia taarifa nyingine ili utumiwe lazima ujiunge kwa ridhaa bila ku force I wonder why unatetea utopolo
Duu nchi hii inawenyewe ,mkuuHaahaa mi kwangu sijatumiwa mkuu nasubiri nitumie nianze na kampuni kwanza
mwengine nae huyo asieelewa. Wewe kama umeona ni kosa, nenda kashtaki mahakamani, ili mahakama iamue kama ni kosa au la. Shida ya nini kwani?Kwahiyo makampuni mengine kufanya kosa na hayo makampuni ya simu ndio wanaruhusiwa kufanya kosa hilo hilo?
Wewe na wewe usinichoshe zero iq nilitaka nitumiwe message ya nini yako mchawiUnaona ulivyo mjinga sasa? Sasa ulitaka utumiwe meseji ya kampeni 2017? Rudia kusoma post zangu za nyuma utaona nilivofupisha haya mambo huwa yanafanywaje. Tatizo lako wewe ni mtumwa wa siasa tu ndio mana unabweka kijinga, zingekuwa za chama chako pendwa ungeufyata kimya.
2015 wapinzani walimchukua Lowassa na wakaunganisha vyama ili kupambana na ccm,ina maana ndio tuseme walifanya yote hayo kwa kuwa hawakuwa wakijiamini?sasa kama mtu amenunua mandege, fly over, treni ya mwendokasi kama "uraya" mbona bado hajiamini?? anahangaika nn si asubiri tu ushindi wa kishindo hiyo tarehe 28/10?!?!.
Haki mbinguni ,hata huko chadema hakuna haki huo ndio ukweli kabisaMkuu kwa uzalendo upi? Wa kutoka watu na kunyima watu haki zao?
Hawa wagumu kuelewa unajisumbua Kama ni kosa si waende mahakamani ,sasa wanalialia nyuma ya keyboard hapamwengine nae huyo asieelewa. Wewe kama umeona ni kosa, nenda kashtaki mahakamani, ili mahakama iamue kama ni kosa au la. Shida ya nini kwani?
Wa kubadilika huko ccm sio jpm, baada ya uchaguzi huu atakanyaga watu hatari.Neno haki halitakuwa na maana tena awamu ya pili ya jpm akishinda.Ngoja uchaguzi uishe hapo mwezi wa kuanzia kumi na moja atasema hapangiwi na yoyote, Ila akirudi abadilike na yeye sio watu wamekubwa na janga badala awape pole anasema hakuleta tetemeko, watu wanavunjiwa nyumba Yuko kimya vile hawakumpigia kura. I hope next term atabadilika awe ana sympathize na Raia wake.
Halafu ushabiki wako maandazi ni wewe, ctaki kutumiwa message ya mwanasiasa yoyote na sina upumbavu wa vyama Mimi kwani ndio wanaonilisha, tumiweni nyie makada wa wanasiasa, mie upumbavu wa wanasiasa kutafta ugali wao unanihusu nini sasa. Ka ujue wengine hatu mind wanasiasa hata kuwaona tu kichefu chefu.Unaona ulivyo mjinga sasa? Sasa ulitaka utumiwe meseji ya kampeni 2017? Rudia kusoma post zangu za nyuma utaona nilivofupisha haya mambo huwa yanafanywaje. Tatizo lako wewe ni mtumwa wa siasa tu ndio mana unabweka kijinga, zingekuwa za chama chako pendwa ungeufyata kimya.
Haa haa jipya hakinyemiHaki mbinguni ,hata huko chadema hakuna haki huo ndio ukweli kabisa
Katume sms moja tu ,afu ujue tofaut ya bamia na mrenda4102gogoki katoa namba za MEKO na sie tumtumie.
Kutakuwa na kilio na kusaga meno, Mimi ndio maana staki kusikia wanasiasa maana ni walewale uchaguzi ukiisha wanaanza kuonyesha true color zaoWa kubadilika huko ccm sio jpm, baada ya uchaguzi huu atakanyaga watu hatari.Neno haki halitakuwa na maana tena awamu ya pili ya jpm akishinda.
Atashinda siyo akishindaWa kubadilika huko ccm sio jpm, baada ya uchaguzi huu atakanyaga watu hatari.Neno haki halitakuwa na maana tena awamu ya pili ya jpm akishinda.
Hawatendi haki kwa wateja kwa kweliBinafsi nilipigiwa simu na mdada aliyejitambulisha kuwa ni Wakala wa CHADEMA wiki iliyopita akawa anaomba niwapigie kura wagombea wa chadema. Nikabaki nashangaa tu hawa watu wa mitandao wakoje?
Bahati mbaya kuwa sitapiga kura mwaka huu.
Ubongo wa mende bna, miaka 58 na chama chenu chakavu miaka mitano hii siasa mmefanya peke enu bado tu mnatusumbua na visms ovyoo kabisa.Wazee wakulia lia kama mitoto ya Ndege
Shida nini Wengine mnajidanganya eti Tuka shtaki wapi hahahaha
Nendeni si mmekosa Kazi
MAGUFULI MITANO TENA
Kaa na ujinga wako, CCM lazima tushinde mpaka sasa tumeshashinda.Hakuna kuwaachia nyani ccm shamba tutapambana hapa hapa mpaka nyani waachie shamba