LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 9,211
- 12,716
Hata wakimpa yeye bila ridhaa ya wateja ni makosaCha msingi wampe nafasi kama hiyo Lissu pia na wengineo watakao hitaji
Hata wakimpa yeye bila ridhaa ya wateja ni makosaCha msingi wampe nafasi kama hiyo Lissu pia na wengineo watakao hitaji
Majitaka utakunywa mwenyeweHa ha ha ...Magufuli ni kama maji usipoyanywa utayaoga....
Hawa wameinajisi simu yangu kwa kunitumia msg kama hii. Imebidi simu yangu nikaiogeshe na Omo kuondoa nasiji ya ccm
Yani yale mabango nchi nzima
Kwani tigo wanapokutumia msg za heri ya pasaka wewe ustaadh huwa unawajibu?shenzi kabisa,halafu hawaruhusu tujibu
NECCCM Tumeccm wana hisa huko, CCM bila uchakachuaji bila wizi wa kura ni weupe sanaHuu mchezo hawajaanza Leo, Vodacom na Airtel ndo zao. Wamempa access JPM ya database za wateja wao.
Natamani watu waende mahakamani kwa hili ili haya makampuni yalipishwe fidia ya kutosha.
2020 mambo mengi yatabadilika kumbuka watu wametaabika kwa miaka mitanoUnataka watu ndo waende wakushtakie? Mtumeni lissu aende kama jambo dogo kama hilo nalo mnashindwa kufungua file, eti nyie ndo mnategemewa kuingia barabarani.
Mvunja sheria mkuu ni CCM na serekali yake.Huko ni kuingilia uhuru wa watumiaji wa simu, wanajua kabisa wateja wao watakuwa na itikadi tofauti kwanini watume meseji za kumpigia kampeni mgombea wa CCM?
Kuna wajinga watasema ni haki yao kwasababu CCM wamelipia, watambue CCM wamewalipa hao wenye makampuni ya simu hawajawalipa watumiaji, haya mambo ya kujipendekeza kwa CCM yakome, wanastahili kushtakiwa.
Ujumbe ungekuwa wa chadema mda huu Vodacom wangekuwa na wakati Mgumu na hata mkurugenzi wake kupewa kesi ya uhujumu uchumiHaahaa kila aliyeagainst anataka kuingia barabarani.kilichotendeka ni makosa hata kama ujumbe ungekuwa wa hashimu rungwe
Wazee wakulia lia kama mitoto ya Ndege
Shida nini Wengine mnajidanganya eti Tuka shtaki wapi hahahaha
Nendeni si mmekosa Kazi
MAGUFULI MITANO TENA
TATU MZUKA huwa wanakuandikia mpaka jina lako?Sasa mbona kuna watu wanatumiwa meseji za TATU MZUKA na hawajawahi kucheza wala kujiunga?
Huo ndo ukweli mkuu kila kitu wameandika kwenye terms and conditions.
Magufuli kupitia Polisiccm alijua anapendwa na pia kupitia polepole kumdanganya wakinunua wapinzani wataidhoofisha chademaMvunja sheria mkuu ni CCM na serekali yake.
Hii week inayoanza itakuwa ngumu sana,tarajieni jumbe kama hizi nyingi, ngumu, za ajabu na zenye kodi number za kigeni. Zaidi ya hayo mitandao it's jam au kuzima kabisa.
Kwa uzoefu wangu na chaguzi kuu mbili zilizo pita. Jamii forums huwa inashambuliwa kipindi cha uchaguzi mkuu, hasa ktk siku ya kupiga kura hadi mshindi kutangazwa.
Hivi mnaosema huduma inalipiwa mnamaanisha nini hasa?Hiyo huduma inalipiwa kama huduma zingine na sio kwamba voda wametoa namba kwa wateja
Hahaaa na Mimi nilipata message mda huo huo wa usiku mnene
CCM si wanatumia NECCCM Tumeccm Polisiccm kuwahujumu chadema sasa wanafanya kampeni za nini wakati wanajua kuwa watafanya uchakachuaji mkubwa na kupora haki za wapiga kura kama walivyofanya kwenye ubunge kupita bila kupingwa kwa njia haramu za kishetaniHiyo ni njia moja wapo ya kufanya kampeni sio lazima iwe jukwaani tu, wala hakuna kosa hapo acheni jazba hata wagombea wenu wanaweza kufanya hayo wakitaka.
Natamani mnaopinga wote muhame nchi muende mkaishi Congo au muende Rwanda mkaishi huko kwa muda fulani.
Umevuta Cha arusha weweHuwa mnasoma Terms & Conditions za hiyo mitandao kabla ya kujiunga? Vipi privacy policy huwa mnasoma pia? Kila kitu wameandika kwenye zile karatasi za simcard na kwenye websites zao. Kitendo cha kununua simcard zao na ku-activate maana yake ume-AGREE terms na conditions zao so umekubaliana na meseji zozote za promo watakazokutumia.
NB: Kabla haujaenda kuwashtaki soma vigezo na masharti ya mtandao husika, Usije ukageuziwa kibao ukafungwa wewe badala ya kampuni.