Steve Dii
JF-Expert Member
- Jun 25, 2007
- 6,402
- 1,254
Vibali vya 'content service' (CS) vinachukua muda mrefu sana kutolewa na Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA), kwani muda unaowachukua waombaji kupata leseni zao haulingani na makadirio yaliyotolewa na chombo hiki katika upatikanaji huo.
Tukiwa katika harakati za kutaka kuhabarisha jamii nzima ya Watanzania, habari za radio kupitia masafa ya FM ni mojawapo ya njia zinazoweza kumudiwa na baadhi ya Watanzania na mashirika mbalimbali. Lakini ugumu wa upatikanaji unakatisha tamaa watu, (btw, naandika haya nikiwa na mifano ya watu wa karibu wawili, mmoja akiwa ameshakata tamaa na process hiyo na mwingine bado akiwa anayumbishwa huku na kule), sababu kubwa inayoonekana ni ukiritimba mkubwa unaoishia kukatiza watu tamaa.
Kwenye website yao kama kwenye hii document hapa chini, wanaashiria kuwa ndani ya miezi mitatu applicant akiwa ametimiza masharti yote na mchakato mzima wa upatikanaji kibali kuwa umetendeka, basi mwombaji atapatiwa leseni hiyo ndani ya miezi hiyo mitatu au minne kama kunakuchelewa kidogo kutegemeana na siku za kikazi na sikukuu za kitaifa.
[media]http://www.tcra.go.tz/licensing/pdf_documents/licensing%20processes.pdf[/media]
Yafuatayo ni maelezo ya michoro hiyo juu kutoka kwenye website: TCRA|Tanzania Communications Regulatory Authority
Wana JF, maswali ninayojiuliza ni kama yafuatayo:
--- Je, sera za mawasiliano katika serikali yetu kwenye kuwahabarisha Watanzania wote zinaendana na procedure inayochukua muda mrefu kama za hiki chombo?
---Kwa mwaka, TCRA wanatoa/wamepanga kutoa leseni ngapi?
---Leseni ngapi za category "CS" zinatolewa kwa mwaka na mafanikio yao ni yapi kwa walau miaka mitatu iliyopita? Katika hili napenda kujua accountability yao kwa jamii na kama chombo cha serikali.
---Je, spectrum ya matangazo Tanzania inaelekea kuisha au haijawa allocated mpaka upatikanaji wa leseni za FM uchukue muda mrefu hivyo?
---Je, TCRA haioni kuwa kuchelewesha chelewesha watu bila sababu za maana kuna chochea watu kujiamulia kufanya mambo yao wenyewe kwa kukiuka taratibu?
Tukiwa katika harakati za kutaka kuhabarisha jamii nzima ya Watanzania, habari za radio kupitia masafa ya FM ni mojawapo ya njia zinazoweza kumudiwa na baadhi ya Watanzania na mashirika mbalimbali. Lakini ugumu wa upatikanaji unakatisha tamaa watu, (btw, naandika haya nikiwa na mifano ya watu wa karibu wawili, mmoja akiwa ameshakata tamaa na process hiyo na mwingine bado akiwa anayumbishwa huku na kule), sababu kubwa inayoonekana ni ukiritimba mkubwa unaoishia kukatiza watu tamaa.
Kwenye website yao kama kwenye hii document hapa chini, wanaashiria kuwa ndani ya miezi mitatu applicant akiwa ametimiza masharti yote na mchakato mzima wa upatikanaji kibali kuwa umetendeka, basi mwombaji atapatiwa leseni hiyo ndani ya miezi hiyo mitatu au minne kama kunakuchelewa kidogo kutegemeana na siku za kikazi na sikukuu za kitaifa.
[media]http://www.tcra.go.tz/licensing/pdf_documents/licensing%20processes.pdf[/media]
Yafuatayo ni maelezo ya michoro hiyo juu kutoka kwenye website: TCRA|Tanzania Communications Regulatory Authority
Procedures and Processes:The Application for licences for provision of network facility services, network services, Applications services and content services nationally, will require stringent and rigorous scrutiny by the Authority as follows:-
- The Authority shall periodically announce in the media a deadline for submission of applications.
- Applications received shall be categorised into respective licence categories; network facility services, network services, application services and content services and corresponding market segments; International, National, Regional, District and Community.
- Received applications shall be scrutinised to establish whether they have all required attachments viz: receipt of application fee, duly filled application form, business plan, roll out plan, company registration, Information on technical proposal of the service to be provided, Information on the previous experience, company profile.
- Applicants who do not comply shall be notified to submit appropriate required documents. Complied applicants shall be notified accordingly.
- The Authority shall conduct detailed evaluations of the applications basing on pre-determine criteria for each category of license.
- The list of applicants shall be published in widely circulated newspapers and posted in the Authority's website to invite public comments.
- The Evaluation team shall convene to assess public comments against the applications including interviewing the applicant if deemed necessary
- Recommendations of the Evaluation team shall be forwarded to the Management for decision making
- Recommendations of the Management shall be submitted to the Board for approval.
- Recommendations of the Board shall be submitted to the Minister for consultation .
- Licenses shall be granted to successful applicants upon payment of appropriate fee (Initial fee, frequency user fee, numbering etc).
Wana JF, maswali ninayojiuliza ni kama yafuatayo:
--- Je, sera za mawasiliano katika serikali yetu kwenye kuwahabarisha Watanzania wote zinaendana na procedure inayochukua muda mrefu kama za hiki chombo?
---Kwa mwaka, TCRA wanatoa/wamepanga kutoa leseni ngapi?
---Leseni ngapi za category "CS" zinatolewa kwa mwaka na mafanikio yao ni yapi kwa walau miaka mitatu iliyopita? Katika hili napenda kujua accountability yao kwa jamii na kama chombo cha serikali.
---Je, spectrum ya matangazo Tanzania inaelekea kuisha au haijawa allocated mpaka upatikanaji wa leseni za FM uchukue muda mrefu hivyo?
---Je, TCRA haioni kuwa kuchelewesha chelewesha watu bila sababu za maana kuna chochea watu kujiamulia kufanya mambo yao wenyewe kwa kukiuka taratibu?