TCRA na BOT wasaidieni wanyonge wa Taifa hili, huduma baadhi mitandao inadhulumu watu kada ya chini

VAPS

JF-Expert Member
Jul 10, 2012
5,611
13,160
TCRA na BOT wekeni viwango elekezi. Watu kada ya chini waliowengi wanaumia sana. Mfano mtu kutoa 10,000 garama makato 1,450 Tzs, sawa na 14.5%!!! Wao kumiliki software pekee!???? Ilihali Mtumaji kaweka pesa!! Vodaa wanaongoza kwa ulanguzi huu kwa wanyonge, achilia mbali huduma zao za ujanja ujanja eti tafu,songesha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
VAPS,
Nunua Vocha ya VODA 1000 then jaribu kujiunga kifurushi cha 1000, utaambiwa fedha haitoshi na watakuaambia wa "kupige tafu". Inaamana VODA wakisema kifurushi ni sh 500, 1000, 1500 etc hakimaanishi thamani un less otherwise ununue kwa MPESA ndio inakubali.

Mbaya zaidi Vocha ni za 500, 1000 etc hivyo ukitaka ongeza lazima uongeze kitu kizima yaaani kama unataka kununua kifurushi cha 500 lazima uwe na zaidi ya hela hio. Vile vile bando ya internet ikiisha hawatoi taaarifa mpaka wamekwangua airtime yote iliyobaki... kwa kweli hawa ni wezi kupindukia.....
 
VAPS, hufahamu lolote mkuu, hiyo pesa ina mlolongo sana, ukitathmini kiundani utaona ni ada ndogo

mgawanyo upo hivi
1. ukitoa pesa kwa wakala serikali inachukua 18% as V.A.T kwa hiyo katika hiyo 1450 serikali chao ni 261

2. Wakala aliyekuwekea hiyo pesa anachukua 200

3. wakala atakaekupa hiyo pesa anachukua 300

4. Bado wakala mkuu hajapewa chake

5. Bado benki haijapewa

6. bado mtandao husika haujapewa chake

NB
Mnavyoweka hamkatwi kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzigo mkubwa sana kwa watoaji pesa kidogo ambao ni wengi makatato si rafiki., Haina uhusiano na vat na comm wadau.Voda mtapotea wacha TCRA wamiliiki minara pawe na ushindani sawa.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
VAPS, hufahamu lolote mkuu, hiyo pesa ina mlolongo sana, ukitathmini kiundani utaona ni ada ndogo

mgawanyo upo hivi
1. ukitoa pesa kwa wakala serikali inachukua 18% as V.A.T kwa hiyo katika hiyo 1450 serikali chao ni 261

2. Wakala aliyekuwekea hiyo pesa anachukua 200

3. wakala atakaekupa hiyo pesa anachukua 300

4. Bado wakala mkuu hajapewa chake

5. Bado benki haijapewa

6. bado mtandao husika haujapewa chake

NB
Mnavyoweka hamkatwi kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya makato uliyotaja si sababu toshelezi kwa huduma kuwa ghali. VAT inategemea ukubwa wa fees na hayo mengine. Hiyo percent ni kubwa mno km transaction charges. Mimi binafsi niliachana na ujinga wa mobile banking hasa unapoenda kwenye mtandao wa simu. Sijui ni dunia ipi transaction charges ni kubwa hivi. Bahati mbaya makampuni ya simu hadi yamehama kwenye core business activities na benki zimeshindwa kujipambanua vilivyo kuweza kushindana. Matokeo yake, usimamizi mbovu wa sekta na huduma ghali
 
VAPS,
Nunua Vocha ya VODA 1000 then jaribu kujiunga kifurushi cha 1000, utaambiwa fedha haitoshi na watakuaambia wa "kupige tafu". Inaamana VODA wakisema kifurushi ni sh 500, 1000, 1500 etc hakimaanishi thamani un less otherwise ununue kwa MPESA ndio inakubali.

Mbaya zaidi Vocha ni za 500, 1000 etc hivyo ukitaka ongeza lazima uongeze kitu kizima yaaani kama unataka kununua kifurushi cha 500 lazima uwe na zaidi ya hela hio. Vile vile bando ya internet ikiisha hawatoi taaarifa mpaka wamekwangua airtime yote iliyobaki... kwa kweli hawa ni wezi kupindukia.....


Sent using Jamii Forums mobile app
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom