TCRA mulikeni Halotel wanawaibia wateja kupitia vifurushi vya SMS. Wapigwe Faini kubwa iwe fundisho

Kun kitu sidhani kama unaelewa unaweza kutuma msg ambayo nadhani mwisho ni maneno 180 yakizidi hapo wanahesabu msg 2 sasa ukiandika msg ndefu sana zinaweza zikawa msg 5
 
Muwe mnasoma terms and condition kabla ya kununua line za mitandao
Sikia, hii line sijaanza kuimiliki juzi ama jana, nina miaka nayo.

Halafu nimeona kila sehemu umetetea tetea sana sijui kwa faida ya nani!

Hayo mabadiliko ya kimumiani yaliyoanza juzi tuseme hayajakugusa ama unajifanya haujui?

Hata kama wewe una hisa huko na ni mnufaika, basi sikiliza na tathimini wateja ambao kimsingi ndiyo waajiri wako wanasema nini.
 
Kwema wazeee.
Halotel unanunua SMS 50 unatumia 10 wanakwambia bundle imeisha huu ni wizi naomba wapigwe faini kubwa iwe fundisho kwa mitandao mingine.

Nimeumia sana.
Utakua unaandika msg ndefu. Kwahiyo unajua umetuma moja kumbe 3 au zaidi.
 
Mwambieni kabisa aelewe siyo kuja kulalamika hapa. Acha kuandika meseji ndefu wakati simu yako ndogo. Meseji moja inakwenda kwa mafungu, badilisha simu
 
Wewe utumie kifurushi chako mpaka kiishe halafu uwatishe kuwapeleka mahakamani, ushahidi unao, jaribu uone watakavyo mwaga data zako na utatakiwa uwalipe fidia na gharama za kesi,
Kwa akili zako hatuna record sio!? Sasa wewe endelea kituibia
 
Uibiwe nini wewe.unafikiri mitandao inaendeshwa kwa mdomo, ni automatic system, chochote utakacho fanya kinarekodiwa
Maandishi yako yamebeba jazba!( inatia shaka) Kunashida gani HALOTEL wakatujibu au kutufafanulia au kutuomba samahani mpaka wewe unakwazika kiasi hiki!? ATM machine zenyewe kuna muda pesa inatoka kwenye account lakini hupati cash! System haimaanishi ni gurantee ya uhakika na usalama, anytime anything can happen! Haya ni malalamiko so kama wewe ni HALOTEL unatujibu hivi ( ila hatudhanii ) nashauri wakufute kazi! Huna exposure na business tactics! Na hiyo lugha yako ya eti “ uibiwe nini wewee” it's sound kwako kinachoibiwa ni hela tu and you have no clue what time value in this world!
 
Kwema wazeee.
Halotel unanunua SMS 50 unatumia 10 wanakwambia bundle imeisha huu ni wizi naomba wapigwe faini kubwa iwe fundisho kwa mitandao mingine.

Nimeumia sana.

Halotel ni jipu, kwanza hawapokei cm za wateja wao. Pili kabla hujakamilisha kujiunga na kifurushi chochote kwa kawaida wanakwambia bonyeza moja kukubali, kabla hata hujabonyeza hiyo moja tayari wameshakuletea sms ya asante kwa kujiunga na kifurushi . Alafu wanavyosema umetumia asilimia 75 ya kifurushi chako huwa wanatumia vigezo gani? Huu mtandao umekua wa kishamba sana.
 
Halotel ni jipu, kwanza hawapokei cm za wateja wao. Pili kabla hujakamilisha kujiunga na kifurushi chochote kwa kawaida wanakwambia bonyeza moja kukubali, kabla hata hujabonyeza hiyo moja tayari wameshakuletea sms ya asante kwa kujiunga na kifurushi . Alafu wanavyosema umetumia asilimia 75 ya kifurushi chako huwa wanatumia vigezo gani? Huu mtandao umekua wa kishamba sana.
@TCRA
 
Back
Top Bottom