Kupitia mtandao gani mzee
Mbona sms 5000 (elfu 5) ni Tsh 950! mwezi mzima.Wanauza elfu 1000 SMS 50 nimelipia jana nimetuma message 10 saahizi wananiambia imeisha huu ni wizi.
tena ni 950 ukilipa kwa halopesa.Mkuu siwatetei ila mbona sh 1000 unapata sms 5000 kwa mwezi
Imekuwa ni kampuni ya simu za mkononi ya hovyo sana tangia mabadiliko ya bei za bando zilivyobadilika hivi karibuni.Kwema wazeee.
Halotel unanunua SMS 50 unatumia 10 wanakwambia bundle imeisha huu ni wizi naomba wapigwe faini kubwa iwe fundisho kwa mitandao mingine.
Nimeumia sana.
Kwa kesi hii mkuu, angalia muda hslisi uliounga, kama ni saa24 saa zingine ume expire!Wanauza elfu 1000 SMS 50 nimelipia jana nimetuma message 10 saahizi wananiambia imeisha huu ni wizi.
Ndugu hivi we ni mtanzania kweli..??š¤£Maana Halotel elfu 1 kwa wiki ni SMS 40 ambazo huwezi kutumia zote ukimaliza SMS 10 tuu wanakwambia bundle imeisha. Huu ni wizi kama wizi mwingine tuu.
š¤£š¤£ Ndo maana nikahoji jamaa ni mtanzania kweliMbona sms 5000 (elfu 5) ni Tsh 950! mwezi mzima.
View attachment 1988789
wewe unawezaje kununua sms 50 kwa bukuš³š³
Mkuu halotel wapo sahihi wala si wizi usidhani kila Sms moja unayo tuma ni sms moja.Kwema wazeee.
Halotel unanunua SMS 50 unatumia 10 wanakwambia bundle imeisha huu ni wizi naomba wapigwe faini kubwa iwe fundisho kwa mitandao mingine.
Nimeumia sana.
Wanachofanya kwanza hupunguza speed, halafu baada ya muda utasikia kifurushi/bando limeisha. Au utasikia umetumia 75% ya bando yako na hapo ndio huduma kwisha najiuliza hizo 25% wanazipeleka wapi, TCRA nao ni kama hayawahusu,kuna wizi mkubwa wa muda kwenye vifurushi kutoka makampuni haya ya simu.Kwema wazeee.
Halotel unanunua SMS 50 unatumia 10 wanakwambia bundle imeisha huu ni wizi naomba wapigwe faini kubwa iwe fundisho kwa mitandao mingine.
Nimeumia sana.
Wanakuja ma lecture wa āTafta Pesaā
Wewe utumie kifurushi chako mpaka kiishe halafu uwatishe kuwapeleka mahakamani, ushahidi unao, jaribu uone watakavyo mwaga data zako na utatakiwa uwalipe fidia na gharama za kesi,So true! Niliwapigia simu kuwauliza inakuaje nimejiunga 5000 kupiga mitandao yote kwa dakika 300 na SMS 50 alafu in a very short time nimetuma SMS tatu ile najibu ya nne naambiwa sina airtime ya SMS! Alinijibu yule muhudumu kuwa , nanukuu ā ninavyoona umetumia muda wako wa SMS zoote hivyo ongeza airtime uweze kutuma SMS!ā nilishtuka!!
Huu wizi niwawaziwazi kabisa! HALOTEL nawaita kwa mara ya tatu sasa siku nawaburuza mahakamani tusilaumiane! Kumbukeni!!!
Muwe mnasoma terms and condition kabla ya kununua line za mitandaoImekuwa ni kampuni ya simu za mkononi ya hovyo sana tangia mabadiliko ya bei za bando zilivyobadilika hivi karibuni.
Ukiunga mega bando kwa njia ya Halo Pesa, basi kama ulikuwa na salio la dakika za kuongea, hufagiliwa zote kwanza bila kuunganishwa na mpya ulizounga kama wafanyavyo Air tel ama jinsi wao walivyokuwa wakifanya zamani!
Nadhani kuna hujuma ya makusudi tunayofanyiwa wateja.
Hii ni personal issue na inahusisha ugomvi wenu binafsi siyo bundlesMimi kilio changu kwa Halotel nataka tu yule dada aliwekwa kutuambia kuwa hatuna bunlde la kupiga simu tununue bundle mpya abadilishwe ana sauti mbaya sana alaf anafoka
Wewe ni punda kwelikweli tena wa dobiWewe utumie kifurushi chako mpaka kiishe halafu uwatishe kuwapeleka mahakamani, ushahidi unao, jaribu uone watakavyo mwaga data zako na utatakiwa uwalipe fidia na gharama za kesi,