TCRA mpo wapi? Mitandao ya simu imekuwa kero kwenye kupiga simu

RGforever

JF-Expert Member
Apr 3, 2011
6,878
5,424
Hii mitandao ya simu si Vodacom si Tigo. Airtel yaani ukipiga simu utadhani kuna mtu ameshika nyanya inakwaruza hata simu ikiwa inaanza kuita tu.

TCRA mliwapiga faini kipindi kile hawajawaelewa au ni dharau tu. Yaani Imekuwa kawaida mtu kusema sikusikii hebu piga tena, Simu inakwaruza.
 
Mkuu pole Sana itakuwa ni kwa upande wako peke yako mbona wengne hawa lalamiki au upo chobingo huko mbarabhwayi, au simu yako mbovu wengne si hatuoni hilo unalo li lalamikia
 
Wapo busy na kufuatilia wanaomsema kwa ukweli mh. mtukufu, haya mengine hawana habari nayo nadhani idadi ya watuhumiwa ikiwa kubwa wao ndio fahari yao.
 
Back
Top Bottom