happymalya
Senior Member
- Sep 1, 2015
- 116
- 27
Yani ukweli mimi mwenyewe nimeshindwa kuwaelewa kabisa kipengele kile kinamaana gani! emu tulijadili kwa kina ni sawa mtu kununua uongozi???? hafai kabisa kuwa kiongozi tena wa ngazi kama urais wa nchi hii.