Heavy equipment
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,446
- 976
Tcra ni chombo cha kusimamia mawasiliano nchini yakiwemo makampuni ya simu za mikononi, wadau inakuwaje mwananchi wa kijijini akinunua kifurushi cha kuongea anakatwa pesa kwa kupewa MB za internernt wakati haziitaji? tcra hebu tusaidieni watu wakijini tusilazimishwe kununua MB za internent wakati hatujui matumizi yake.