Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,459
- 29,153
Hivi TCRa mnafanya nini?
Mnataka mpaka turudi kijijini mbaki mafisadi wenyewe ndio mtakaposhtuka kua tuna maskinishwa na Vodacom?
Wameniunganisha kwenye promosheni yao inaitwaje sijui but kila siku wananikata Tshs 550/=,
Nimejaribu kutuma maneno mbalimbali ya kujitoa kama vile "ondoa", "cancell", "toka" n.k. na kila nikituma hua wananiahidi kutonitumia tena meseji zao lakini bado wananendelea kunitumia,
Sielewi kama hii promosheni ni Lazima ama vipi?
Mtu unaweza kuweka ka-alfu kako ukiwa ushabajeti, soon Tshs 550/=inaliwa, huu ni wizi uliohalalishwa huu.
Nakumbuka maneno ya Mbunge wangu mmoja kua Mitaani tunaishi na wahalifu waliohalalishwa wengi tu.
Mnataka mpaka turudi kijijini mbaki mafisadi wenyewe ndio mtakaposhtuka kua tuna maskinishwa na Vodacom?
Wameniunganisha kwenye promosheni yao inaitwaje sijui but kila siku wananikata Tshs 550/=,
Nimejaribu kutuma maneno mbalimbali ya kujitoa kama vile "ondoa", "cancell", "toka" n.k. na kila nikituma hua wananiahidi kutonitumia tena meseji zao lakini bado wananendelea kunitumia,
Sielewi kama hii promosheni ni Lazima ama vipi?
Mtu unaweza kuweka ka-alfu kako ukiwa ushabajeti, soon Tshs 550/=inaliwa, huu ni wizi uliohalalishwa huu.
Nakumbuka maneno ya Mbunge wangu mmoja kua Mitaani tunaishi na wahalifu waliohalalishwa wengi tu.