Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Kuna Taarifa ya uongo sana inayosambazwa na Kada mtifu wa CCM Jerry Muro ambazo ni wongo za Dr. Godwin Mollel Mbunge wa Siha kuwa amejiuzulu.
Habari hizi ambazo mwanzilishi wake ni Jerry Muro ni wongo na uzushi na zinakila dalili ya kumpaka mtu matope TCRA ni jukumu lenu kufuatilia hili.
Breaking News: - Mbunge wa Jimbo la Siha, Godwin Aloyce Mollel(CHADEMA) ajivua wadhifa huo na kuhamia CCM
Habari hizi ambazo mwanzilishi wake ni Jerry Muro ni wongo na uzushi na zinakila dalili ya kumpaka mtu matope TCRA ni jukumu lenu kufuatilia hili.
Breaking News: - Mbunge wa Jimbo la Siha, Godwin Aloyce Mollel(CHADEMA) ajivua wadhifa huo na kuhamia CCM