TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,731
- 21,133
ACHENI NGANO NA MAGUGU VIKUE PAMOJA.
Ukristo siyo imani kama nyingine kwamba ukiona dhambi basi unamuadhibu mtendaji no, bali kuna muhusika aliyetoa uhuru na kuruhusu.
Hebu tujifunze kwa yuda alipomuuza Yesu, unadhani Yesu hakujua kuwa huyu jamaa atanisaliti ili niuawe?.
Wakristo kuna jambo la kipekee sana la kujifunza kila siku kuliko imani nyingine zinazojipigania kibinadamu.
Ukristo siyo imani kama nyingine kwamba ukiona dhambi basi unamuadhibu mtendaji no, bali kuna muhusika aliyetoa uhuru na kuruhusu.
Hebu tujifunze kwa yuda alipomuuza Yesu, unadhani Yesu hakujua kuwa huyu jamaa atanisaliti ili niuawe?.
Wakristo kuna jambo la kipekee sana la kujifunza kila siku kuliko imani nyingine zinazojipigania kibinadamu.