nyumbamungu
JF-Expert Member
- Mar 3, 2017
- 997
- 828
Mimi nilikuwa mtumiaji wa King'amuzi cha Easy Televisheni, kilichokuwa kinamilikiwa na mwekezaji toka China iliyokuwa na ofisi maeneo ya Morocco - AHM Road, karibu miezi mitatu hawapo hewani bila taarifa toka kwao.
Kwa upande wa sekta huduma wanazotoa zipo chini ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kinachonishangaza au (mimi) sijaiona taaraifa yoyote inayohusu Easy Televisheni kwamba wamepata tatizo gani na kwanini hawapo hewani.
Jana niliuliza kulikuwa na tatizo gani upande wa malipo DStv, nashukuru nilipata majibu muda sio mrefu, nahili la Easy Televisheni kama kuna mwenye taarifa iliyotolewa na Mamlaka husika asisite kutujulisha.
Kwa upande wa sekta huduma wanazotoa zipo chini ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kinachonishangaza au (mimi) sijaiona taaraifa yoyote inayohusu Easy Televisheni kwamba wamepata tatizo gani na kwanini hawapo hewani.
Jana niliuliza kulikuwa na tatizo gani upande wa malipo DStv, nashukuru nilipata majibu muda sio mrefu, nahili la Easy Televisheni kama kuna mwenye taarifa iliyotolewa na Mamlaka husika asisite kutujulisha.