PendoLyimo
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 878
- 955
Katibu Mkuu, Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Dkt. Jim Yonazi akiongoza ujumbe wa wataalam wa mawasiliano-Tanzania, katika mazungumzo na Mkurugenzi wa Shirika la Mawasiliano Duniani-ITU-Kanda ya Afrika Bi. Anne Rachel Inne’ kwenye mkutano uliojadili ushiriki wa Tanzania katika mpango wa GIGA unaoratibiwa na ITU.
GIGA ni mpango unaolenga kuunganisha kila shule duniani kwenye mtandao ifikapo 2030.
Mazungumzo hayo yamefanyika pembezoni mwa Mkutano Mkuu wa Maendeleo ya Mawasiliano Duniani (ITU-WTDC-2022) unaofanyika jijini Kigali, Rwanda.
GIGA ni mpango unaolenga kuunganisha kila shule duniani kwenye mtandao ifikapo 2030.
Mazungumzo hayo yamefanyika pembezoni mwa Mkutano Mkuu wa Maendeleo ya Mawasiliano Duniani (ITU-WTDC-2022) unaofanyika jijini Kigali, Rwanda.