TCRA kulazimisha laini moja tu kwa kila mtandao kwa Raia si sahihi!

Nadhani hujaelewa.

Tatizo hapa kwanini laini moja kwa mtandao?

Je laini moja kwa mtandao itapunguza fraud?

Na kama hii ndio itapunguza fraud, kuna haja gani ya kusajili laini kwa vidole na nida?

Je hawaoni jambo hili litaleta tatizo kitaifa kwa maana kwamba Watanzania watapoteza ajira, serikali itakosa mapato?


Kwanini serikali inajioita kuweka mapingamizi badala ya kuwezesha sector binafsi?

Je TTCL ingekua ndio namba moja, Je wangeleta sheria ya kipuuzi kama hii?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa

Ila na wewe mkuu ujanielewa maana nilimjibu mtu ambaye analahumu TCRA kuhusu katazo la kutosajiri ndugu na jamaa kupitia kitambulisho chake cha NIDA.

Kusajiri laini kwa vidole ni kuhakiki kile ulichokifanya NIDA kama kipo sahihi na pia kuweka kumbukumbu sawa kwenye mitandao ya simu.

Ndio FRAUD itapungua na kuisha kabisa maana watu walikuwa wanasajiri kwa namba upya baada ya kufanya tukio la kihalifu.

Kwani sekta binafsi imezuiwa kufanya biashara nchini?

Ni uongo na upotoshwaji kuhusu kusajiri simcard moja mtandao mmoja,kwamba ni ruhusa kumiliki simcard mbili kwa mtandao mmoja ila zaidi ya mbili kwa mtandao mmoja unapaswa ujaze fomu maalumu ueleze sababu za kuhitaji kumiliki simcard zaidi ya mbili.
 
Hapo sawa.. na sheria inayo takiwa ni kutotuhusiwa kutumia laini ambayo haijasajiliwa kwa jina la muhusika
Sawa

Ila na wewe mkuu ujanielewa maana nilimjibu mtu ambaye analahumu TCRA kuhusu katazo la kutosajiri ndugu na jamaa kupitia kitambulisho chake cha NIDA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iwe kama China huwezi kuwa na laini 2 bila sababu.
Pia tupewe namba za simu zinazodumu milele, tusiweze ibadilisha kamwe hata UFE

Sent using Jamii Forums mobile app
China hawana utitiri wa kampuni za simu za mikononi wana kampuni mbili pekee, lakini kwa Tanzania kuna kampuni nyingi za Simu kuliko hata America na mataifa mengi Duniani na tunasikia sasa Azam anakuja na kampuni ingine ya simu, wakitaka Line moja wafute kampuni zote za simu wabakize moja tu
 
Kwani mtu akiwa na laini zaidi ya moja za mtandao huo huo shida inatoka wapi as long as he is duly registered! ?

Kuna watu wanatumia devices tofauti tofauti kwa ajili ya mawasiliano na internet!

Unahitaji ku connect laptops, computers, simu zaidi ya moja nk.

Badala ya kwenda mbele katika kutumia fursa za utandawazi, magufuli yuko bize kuturudisha chattle enzi za ujima 987 BC!

Inafikirisha sana! Huyu mzee ana ajenda gani iliyojificha nyuma ya huu uovu wake wote?

He is extremely busy creating troubles all over the place!

Niseme tu kwamba, huyu mzee kama hana nia ovu, basi ana ushamba usiomithilika!



Sent using Jamii Forums mobile app
Mshauri mkuu wa mtukufu ni Daud Bashite na hana vyeti unategemea nini?
 
Wapunguze kampuni za Simu Voda wainunue Halotel na Airtel iwe kampuni moja na Tigo wazinunue zingine zote zilizosalia ikiwemo TTCL zibakie kampuni chache mbili tu hapo hakutakuwa na ujinga wa kuwazia juu ya utitiri wa Line za Simu
 
Laini moja kwa kila mtandao mmoja kwa ajili ya data, simu na sms

Laini 4 kwa kila mtandao mmoja kwa ajili ya mawasiliano ya vifaa kwa vifaa.
 
Hivi kwa nini wanakunyang'anya namba kama hujaitumia kwa siku 90? Mtu ukipata kozi ya zaidi ya siku 90 basi line yako unapoteza? Wengi gharama za ku roam haziwezi. Hizi namba tunawapa wengi na ukiipoteza ni usumbufu mkubwa! Na kuna raia wanaishi nje na wanamiliki laini za simu kuwarahisishia mawasiliano wanapokuja kuwatembelea ndugu zao. Hawa nao wanatakiwa waombe line mpya kila wanapokuja?

Amandla........
 
Hilo halikuhusu wewe, linamhusu huyo anayetaka zaidi ya 'laini' moja, ali mradi havunji sheria yoyote na hiyo laini ya ziada.

Kwa nini wewe uchukue jukumu la kuamulia watu wengine mambo wanayotaka kuyafanya kama sio kinyume cha sheria?

Wewe, au hao TCRA ndio wenye jukumu la kueleza kwa nini mtu asiwe na zaidi ya laini moja, na watunge sheria kabisa kama inahusu mambo hatarishi yoyote.

tunashukuru tu Mungu hatuwezi kua na kiongozi kama wewe! we unadhan kila mtu akiruhusiwa afanye anachotaka hii dunia utaipenda? kuna mda mwingine inakubidi tu kama kiongozi ufanye maamuzi magumu despite utapata lawaama! huezi jua wameona nn kwenye kua na laini mbili na wameshuhudia nn na nn mpaka wameamua hivi, sasa you better respect that!
 
Ulitaka tumtaje nani kama sio magufuli?

Hata watunga sheria (ofisi nzima ya mwanasheria mkuu wa serikali) wanamhusudu magufuli na kuabudu kila neno analolisema!

Miswada, sheria na kanuni zote zinatungwa kulingana na matamko ya magufuli!

Maudhui ya sheria nyingi yanaakisi matamko ya magufuli. Ukiitizama sheria unaiona sura ya magufuli kwa ndani.

Mzee wa matamko haramu ameshajaza matatizo katika sheria za nchi inafika hatua mahakama inafanya kazi usiku na mchana kuzifutilia mbali kwa kuwa zinapingana na Katiba!

Mawakili na wanasheria wanataabika usiku na mchana kwenye korido za mahakama kuzing'oa sheria zake haramu!

Day in day out! Uking'oa hii analeta nyingine... kabla hujamaliza hii karudi na rungu la TCRA... hujamaliza huku mara kaja na fingerprints.

He is such a trouble maker! A NUISANCE!


Sent using Jamii Forums mobile app

akili zingine bana! kuropoka tu, una uhakika na unachoongea au ni basi tu umepewa sehem ya kuongea
 
Juzi nikiwa katika viunga vya bunge na baadhi ya maafisa wa serikali, kuna jambo la ajabu sana nilisikia eti ule uvumi ulio kuwepo mwanzo kwamba raia hata ruhusiwa kusajili laini zaidi ya moja ni uhalisia.

Nikajiuliza lengo hasa ni nini?

Kama nina laini 100 na zote nimesajili kwa vidole tatizo lipo wapi?

Akili vs matope?

TCRA imesema lengo la kusajili kwa vidole na vitambulisho vya NIDA ni kukabiliana na ujambazi na uhalifu, sasa swala la laini moja linatoka wapi?

Nilimweleza mbunge mmoja, anatokea mkoa Kagera kwamba ajaribu kuishauri Serikali kuachana na issue ambazo hazina manufaa na zinaloleta usumbufu na maisha magumu kwa wananchi.

Mnataka wote tuwe na maisha ya gerezani?

Kama ni kweli waache upuuzi wao .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
It's not too much to mention him...

And, for sure, he's the one leading the government at least for now...

If he sees that, his name is being "too much" mentioned in everything, then, he has just one option.....to quit and disappear forever in our government businesses..!!

By doing so, he won't be mentioned anymore...!!

its too much! kuna vitu vingine sasa i can even say ni dhambi, kumbuka kuna sheria inasema usimshuhudie mwenzako uongo! kitu hauko sure nacho like a grown up you wait for evidence sasa kila kitu magu, sjui nini kimeenda vibaya, mtu kaachana na mke wake magu! WTF, vitu vingine ebu muogopeni Mungu bana! ana mapungufu yake ndio lakini sio kwa kiasi iki mnacho potray,

to disapper aende wap? he still has more years ahead! ni vile tu ile ishuw ya kuongezewa mda aliikataa mapema lakini nlikua naunga mkono lile swala
 
Labda ungeiweka vizuri ile ya sheria na kanuni kukataza mtu kumiliki SIMCARD zaidi ya moja...

Kanuni inasema "MTU haruhisiwi kumiliki SIMCARD za mtandao mmoja zaidi ya moja. Msisitizo na point ni kwenye bold hapo...

Hata hivyo bado ni makosa tu kwa sababu haina maana yoyote. Kama mtu ana uwezo wa kuzitumia zote, aachwe amiliki tu so long as amezisajili kwa NIDA

After all, kufanya hivyo ni kuziwekea restrictions zisizo na maana kampuni za simu kufanya biashara...

Na kwa mtu binafsi, inamsaidia yeye mwenyewe binafsi kuwa na privacy maana kuna SIMCARD nitakayopenda na kuiweka public lakini zingine zitakuwa maalumu kwa watu maalumu tu....

Kanuni hii inaweza kuwa mbaya kwa kuwa inaingilia Uhuru na privacy za watu!!

privacy gan? there is nothing like privacy in this world, ata apa jamii forum you can still be traced vizuri sana with just a photo na ukapatikana vizuri sana
 
tunashukuru tu Mungu hatuwezi kua na kiongozi kama wewe! we unadhan kila mtu akiruhusiwa afanye anachotaka hii dunia utaipenda? kuna mda mwingine inakubidi tu kama kiongozi ufanye maamuzi magumu despite utapata lawaama! huezi jua wameona nn kwenye kua na laini mbili na wameshuhudia nn na nn mpaka wameamua hivi, sasa you better respect that!
Sasa atawezaje kujua wameona au wameshuhudia nini bila wenye kufanya maamumizi kutoa sababu za kuyafanya?

Amandla....
 
Kwa nini wanaweka ukomo huu?

Nikiamua kuwa na line moja ya internet tu, na line nyingine ya kuongea tu, hapo kuna tatizo gani?

Nikiamua kutenganisha line ya mambo ya biashara zangu na line ya mambo ya binafsi ili niweze ku reconcile mapato na matumizi kihasibu vizuri zaidi, tatizo liko wapi?

Kuna wakati jiji la Tokya Japan lilikuwa na line za simu nyingi kupita bara zima la Afrika.

Naona tunatamani kurudi huko.

Sent using Jamii Forums mobile app
C
Sote tutumie TTCL basi
 
tunashukuru tu Mungu hatuwezi kua na kiongozi kama wewe! we unadhan kila mtu akiruhusiwa afanye anachotaka hii dunia utaipenda? kuna mda mwingine inakubidi tu kama kiongozi ufanye maamuzi magumu despite utapata lawaama! huezi jua wameona nn kwenye kua na laini mbili na wameshuhudia nn na nn mpaka wameamua hivi, sasa you better respect that!
Unaona usivyoelewa?
Nimeandika wapi kwamba "---kila mtu akiruhusiwa afanye anachotaka---"? Unashindwa kujjibu hoja unarukia yasiyokuwepo kabisa.
 
Back
Top Bottom