Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,191
- 46,232
This is bigNimeshajiandaa kisaikolojia kutokutumia simu ifikapo hiyo tr 31.
Na ikitokea kinyume chake nafungua kesi mahakamani kwa makampuni haya ya simu kuniharibu kisaikilojia.
Nasubiri kwa hamu wathubutu kutokufungia line niwaburuze kortini
Sent using Jamii Forums mobile app