TCRA kudhibiti utoaji huduma za vifurushi kwa kampuni za simu

TCRA na Makampuni ya simu lao moja hao, siku Mh. Rais akija shtukia, kuwa hao lao moja wanamkandamiza mwananchi sana, TCRA Mkurugenzi atajutia. Makampuni ya simu yanafanya unyonyaji sana as if TCRA haiko dunia hii
 
TCRA imewataka watoa huduma za simu nchini kuweka utaratibu utakaomuwezesha mteja kuhamisha unit za kifurushi chake kwenda kwa mtumiaji mwingine aliye ndani ya mtandao wake.

Pia wametoa sharti la kiasi cha chini kuhamisha kutoka kwa mtumiaji kwenda kwa anayehamishiwa itakuwa kuanzia 250MB.

Hatua hiyo imetokana na uwepo wa malalamiko mengi kutoka kwa watumiaji kuhusu vifurushi vya simu.
 
TCRA na Makampuni ya simu lao moja hao, siku Mh. Rais akija shtukia, kuwa hao lao moja wanamkandamiza mwananchi sana, TCRA Mkurugenzi atajutia. Makampuni ya simu yanafanya unyonyaji sana as if TCRA haiko dunia hii
.unavyosema rais akija kujua...unafikiri hajui?...hivi unafikiria TCRA ni chombo kidogo eeh.. Kila siku bungeni wanalalamikia wanasema vijana wanakesha mitandaoni..wanatamani hata mitandao ifungwe...afu ukija huku unaona ghafla tu vifurushi vinapanda bei...hapa hakuna cha kujiuliza..hao tcra na mitandao ya simu lao moja
 
.unavyosema rais akija kujua...unafikiri hajui?...hivi unafikiria TCRA ni chombo kidogo eeh.. Kila siku bungeni wanalalamikia wanasema vijana wanakesha mitandaoni..wanatamani hata mitandao ifungwe...afu ukija huku unaona ghafla tu vifurushi vinapanda bei...hapa hakuna cha kujiuliza..hao tcra na mitandao ya simu lao moja
true
 
TCRA na Makampuni ya simu lao moja hao, siku Mh. Rais akija shtukia, kuwa hao lao moja wanamkandamiza mwananchi sana, TCRA Mkurugenzi atajutia. Makampuni ya simu yanafanya unyonyaji sana as if TCRA haiko dunia hii
Kwani yeye hatumii simu! Au hajui?
 
Hii nchi ina viongozi Mazezeta sana ,Mwezi mzima wamekaa wanalipana posho za vikao kwa kujadili huu upuuzi waliotuletea hili ndio suluhisho walilolisema Upumbavu huu.
 
Hili agizo athari zake ni kupunguza mapato ya mitandao , mapato ambayo yangesaidia mitandao kuwekeza zaidi kwenye miundombinu
 
Mbona wanasolve tatizo ambalo hatujalilalamikia.

Issue zetu kubwa:

(1) Gharama za vifurushi especially internet zipo juu sana. Na zinazidi kupanda.

(2) Kwanini vifurushi vina expire.

(3) Wasipunguze speed ya internet.

(4) Kula kifurushi na vocha bila mteja kujua.
 
TCRA imewataka watoa huduma za simu nchini kuweka utaratibu utakaomuwezesha mteja kuhamisha unit za kifurushi chake kwenda kwa mtumiaji mwingine aliye ndani ya mtandao wake.

Pia wametoa sharti la kiasi cha chini kuhamisha kutoka kwa mtumiaji kwenda kwa anayehamishiwa itakuwa kuanzia 250MB.

Hatua hiyo imetokana na uwepo wa malalamiko mengi kutoka kwa watumiaji kuhusu vifurushi vya simu.
Mbona wameleta sheria moja.
Kwani shida yetu ni kuhamisha vufurushi au kupingua kwa gharama za vifurushi?
 
Back
Top Bottom