chinchilla coat
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 5,107
- 10,961
Wakili wa TCRA amedai Maxence Melo, pamoja na kushindwa kutoa ushirikiano kwa jeshi la polisi pia ametoa huduma ya mtandao wenye anuani ya kielektroniki {domain names} bila kufuata sheria za nchi, akimaanisha Jamiiforums wanatumia www.Jamiiforums.com badala ya www.Jamiiforums.co.tz,
Ameitolea mfano mitandao ya www.issamichuziblogspot.com, na www.millardayo.com kuwa inafuata mfano mzuri ndio maana hawajaigusa.
Amesema mitandao isiyofuata sheria za nchi hawatasita kuufunga
Ila mitandao aliyoitolea mfano haitumii .co.tz kama alivyodai, na nimeshangaa waandishi wa habari hawakumuuliza kuhusu hilo
Ameitolea mfano mitandao ya www.issamichuziblogspot.com, na www.millardayo.com kuwa inafuata mfano mzuri ndio maana hawajaigusa.
Amesema mitandao isiyofuata sheria za nchi hawatasita kuufunga
Ila mitandao aliyoitolea mfano haitumii .co.tz kama alivyodai, na nimeshangaa waandishi wa habari hawakumuuliza kuhusu hilo