Mifano yote aliyo toa kasahau kama na yenyewe inatumia domain ya .comAisee viongozi wetu wanauwezo mdogo sana wa kufikiri. Ukimsikiliza uyu jamaa basi uko mbele kuna shida, jamaa anaongea kama kada, kumbe ni mtaalamu
2020 ifike tu
Walikuwa wapi siku zote?