SHAROBALO
JF-Expert Member
- Mar 17, 2011
- 771
- 349
Katika kutembelea web yao wameelza very simple kuwa hauna madhara ya kutumia simu.....wamerahisisha mno
soma hii hotuba toka kwa mkurugenzi mkuuuuuu
http://www.tcra.go.tz/headlines/RadiationPressSw.pdf
Halafu soma hii elimu kwa umama walivyoelezea vizuri
Mobile phone radiation and health - Wikipedia, the free encyclopedia
Baada ya hapo napata maswali mengi...hivi tupo kwenye mikono salama ya serikari yetu?
hawa viongozi wanaoongea vitu bila research yoyote na kurahisisha mambo wamesomea fani gani?
Kweli hii ni tanzania
soma hii hotuba toka kwa mkurugenzi mkuuuuuu
http://www.tcra.go.tz/headlines/RadiationPressSw.pdf
Halafu soma hii elimu kwa umama walivyoelezea vizuri
Mobile phone radiation and health - Wikipedia, the free encyclopedia
Baada ya hapo napata maswali mengi...hivi tupo kwenye mikono salama ya serikari yetu?
hawa viongozi wanaoongea vitu bila research yoyote na kurahisisha mambo wamesomea fani gani?
Kweli hii ni tanzania