johnmashilatu
JF-Expert Member
- Sep 16, 2010
- 718
- 703
Naomba kutumia jukwaa hili kufikisha mawazo yangu kwa watanzania ili pamoja na mambo mengine tuangalia njia za kuchukua kuondokana na ukandamizaji unaofanywa na makampuni ya simu za mkononi ambayo kwa maoni yangu hayatendi haki kwa wateja wao
Napata shida zaidi na TCRA hawa wamethibitisha kwmaba wako kwa ajili ya maslahi ya wafanyabiashara wakubwa, kama ilivyo kwa regulator wengine, EWURA, SUMTRA etc.
pamoja na m,abo mengine watanznaia walambiwa wasajili line zao, zoezi likafanyika watu wakaingia gharama kubwa lakini baada ya muda uliotangazwa kuwa line zisizosajiliwa ziliendelea kuwa hewani, TRCA kimya!
walitueleza wakati fulani kwmaba watawabana wenye makampuni ya simu ili kupunguza gharama za miiti lakini imekuwa ndivyo sivyo
watumiaji wa simu za mkononi tanzania wamekuwa wakipata usumbufu na kuibwa kwa aina nyingi lakini hakuna hatua zozote ambazo zinachukuliwa. naambiwa kuna mamlaka ya kumlnda mlaji dhidi ya njama za watoa huduma, lakini sijui iko wapi
ukiwa na lini ya simu tanznaia ni Kero!, unapiga simu lakini unacvhokutananacho ni matangazo kwanza kwamba kama unataka mziki huu bonyeza... au unaza kuambiw aujiunge wewe na ndugu zako katika...... halafu ndio unaambiwa namba unayotafuta haipatikani, wakati umepotezewa muda wako bila sababu ya msingi
kama hiyo haitoshi kuna wizi wa aina yake kwa wateja kuambiwa kutuma ujumbe wa neno bure halafu hakuna gharama inayotozwa ili ushiriki shindano la.......
Jumamosi nimewasilisha malaklaiko yangu TCRA kwa njia ya Mtandao wao, baada ya kupata usumbufu kutokana na kutumiwa ujumbe nisiohitaji kupitia line yangu ya Vodacom lakini hadi ninavyiandika ujumbe huu, hakuna hata taarifa kuonyesha kuwa ujumbe umepokelewa!
nawataka TRC iwambie wafanyabiashara hao w asimu z amkononi kwmaba uamuzi wa mteja kuwa na line ya kampuni fulani sio tiketi ya mtandao husika kuwatumia wateja ujumbe wa kila aina.
umelala saa nane usiku unapata ujumbe... ukifungua kuangalia unakuta mambo ya ajabu kuwa jiujnge na...., umeshinda katika shindano la.......
natumani ujumbe huu utawafikia wahusika, waache mchezo huu
Napata shida zaidi na TCRA hawa wamethibitisha kwmaba wako kwa ajili ya maslahi ya wafanyabiashara wakubwa, kama ilivyo kwa regulator wengine, EWURA, SUMTRA etc.
pamoja na m,abo mengine watanznaia walambiwa wasajili line zao, zoezi likafanyika watu wakaingia gharama kubwa lakini baada ya muda uliotangazwa kuwa line zisizosajiliwa ziliendelea kuwa hewani, TRCA kimya!
walitueleza wakati fulani kwmaba watawabana wenye makampuni ya simu ili kupunguza gharama za miiti lakini imekuwa ndivyo sivyo
watumiaji wa simu za mkononi tanzania wamekuwa wakipata usumbufu na kuibwa kwa aina nyingi lakini hakuna hatua zozote ambazo zinachukuliwa. naambiwa kuna mamlaka ya kumlnda mlaji dhidi ya njama za watoa huduma, lakini sijui iko wapi
ukiwa na lini ya simu tanznaia ni Kero!, unapiga simu lakini unacvhokutananacho ni matangazo kwanza kwamba kama unataka mziki huu bonyeza... au unaza kuambiw aujiunge wewe na ndugu zako katika...... halafu ndio unaambiwa namba unayotafuta haipatikani, wakati umepotezewa muda wako bila sababu ya msingi
kama hiyo haitoshi kuna wizi wa aina yake kwa wateja kuambiwa kutuma ujumbe wa neno bure halafu hakuna gharama inayotozwa ili ushiriki shindano la.......
Jumamosi nimewasilisha malaklaiko yangu TCRA kwa njia ya Mtandao wao, baada ya kupata usumbufu kutokana na kutumiwa ujumbe nisiohitaji kupitia line yangu ya Vodacom lakini hadi ninavyiandika ujumbe huu, hakuna hata taarifa kuonyesha kuwa ujumbe umepokelewa!
nawataka TRC iwambie wafanyabiashara hao w asimu z amkononi kwmaba uamuzi wa mteja kuwa na line ya kampuni fulani sio tiketi ya mtandao husika kuwatumia wateja ujumbe wa kila aina.
umelala saa nane usiku unapata ujumbe... ukifungua kuangalia unakuta mambo ya ajabu kuwa jiujnge na...., umeshinda katika shindano la.......
natumani ujumbe huu utawafikia wahusika, waache mchezo huu