TCRA, inakuwaje magazeti ya Uhuru na Jamvi la Habari hayajafungiwa kwa kuripoti habari sawa na Clouds Media?

Jielimishe.

TCRA haisimamii Magazeti wala Majarida. Magazeti na Majarida yanasimamiwa na Idara ya Habari Maelezo ambayo ipo chini ya Wizara ya Habari. Idara hii ndiko hayo magazeti yanapata usajili na kusimamiwa. Hata wewe kama unahitaji kuanzisha gazeti utaenda huko.

TCRA inasimamia vyombo vya Utangazaji, Simu,Posta,na Mawasiliano yote ya Kielektroniki zikiwemo redio call,mawasiliano ya ndege, kuthibitisha vyombo vipya vya mawasiliano, mambo ya vipeto kv DHL, mambo ya mkongo nk nk wakiwemo online media, coded number kv *150*01# nk nk...

Kwa hiyo malalamiko yako haya yawasilishe Idara ya Habari Maelezo.

Ni muhimu tujenge utamaduni wa kujifunza juu ya vitu vyetu ndugu watanzania ili tuelewe mifumo yetu kiukamilifu.

Wasalaam!.

N'yadikwa


Technology imebadilika hiki sio kipindi Cha nyerere. Vyombo vyote vya habari vipo online/pia Facebook/Twitter/Instagram

Unavyosema havipo chini ya tcra unanishangaza. Na habari zao huwa wanazitoa online vile vile.

Ukiona vichwa vya habari vinatrend mitandaoni jua ni wao wanavitoa.


KUBALI TUU KUNA DOUBLE STANDARD.
 
Write your reply...Adhabu za wale jamaa hizi... yani kukaa siku nzima kuomba radhi tu!
 
Write your reply...Adhabu za wale jamaa hizi... yani kukaa siku nzima kuomba radhi tu!
we call it public harassment...umefanya kosa sasa unaambiwa njoo lala chini unachapwa fimbo mbele ya jamii ukitoka hapo na jina unabadilishwa....ndo siku nyingne utajifunza...tv kila mtu anaangalia ila magazeti wananunua wachache tu
 
Technology imebadilika hiki sio kipindi Cha nyerere. Vyombo vyote vya habari vipo online/pia Facebook/Twitter/Instagram

Unavyosema havipo chini ya tcra unanishangaza. Na habari zao huwa wanazitoa online vile vile.

Ukiona vichwa vya habari vinatrend mitandaoni jua ni wao wanavitoa.


KUBALI TUU KUNA DOUBLE STANDARD.
Print media haiko moderated na tcra except for online
 
Haya yote kuisha nchini Tanzania, Ni October 28.
Baada ya uchaguzi, rangi ya kijani itakuwa imepotea mitaani kwa aibu kubwa
Maneno ya kujipa matumaini ya kushinda ni upuuzi mkubwa. Wewe unaona wagombea wanaondolewa na hakuna hata nguvu ya chama pinzani inayoonekana, utapata wapi ushindi?
 
Back
Top Bottom