Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,696
- 40,898
Yana mwisho
Labda wazime Internet.Bado jf kufungiwa.
Tutaona mengi ktk uchaguzi mkuu mwaka huu.
Alisema, "hata ninyi hamko salama akimaliza kutushugulika ataeageukia ninyi" nadhani sasa kidoooogo wanaanza kuelewa.Haya ndio mambo ambayo Lissu akiyaongelea watu wanasema Ni mchochezi anatukana wakati .
Mambo yanayofanyika ni aibu kwa Magufuli na wapumbavu wote wanao msaport
Kama wana tisha vyombo vya habari ili viandike habari zao tuu. Tuna tegemea kutangazwa kweli. Yaani hii ni awamu ya recordsHaya yote kuisha nchini Tanzania, Ni October 28.
Baada ya uchaguzi, rangi ya kijani itakuwa imepotea mitaani kwa aibu kubwa
Wote ni ndugu wa baba mmoja mkatili asiyependa ustawi wa familia yake.Jielimishe.
TCRA haisimamii Magazeti wala Majarida. Magazeti na Majarida yanasimamiwa na Idara ya Habari Maelezo ambayo ipo chini ya Wizara ya Habari. Idara hii ndiko hayo magazeti yanapata usajili na kusimamiwa. Hata wewe kama unahitaji kuanzisha gazeti utaenda huko.
TCRA inasimamia vyombo vya Utangazaji, Simu,Posta,na Mawasiliano yote ya Kielektroniki zikiwemo redio call,mawasiliano ya ndege, kuthibitisha vyombo vipya vya mawasiliano, mambo ya vipeto kv DHL, mambo ya mkongo nk nk wakiwemo online media, coded number kv *150*01# nk nk...
Kwa hiyo malalamiko yako haya yawasilishe Idara ya Habari Maelezo.
Ni muhimu tujenge utamaduni wa kujifunza juu ya vitu vyetu ndugu watanzania ili tuelewe mifumo yetu kiukamilifu.
Wasalaam!.
N'yadikwa
Yaani kufanya kazi ndani ya serikali hii ya awamu ya tano, inakubidi uwe ni mtu wa kufanya maamuzi ya "double standard" ya hali ya juu sana!Hapa kuna tofauti gani au nayo ni sehemu ya kuendeleza udharimu na kutishia vyombo vya habari kuelekea uchaguzi mkuu kutotangaza habari za upinzaniView attachment 1549974View attachment 1549975
7 daysMkuu hivi Clouds imefungiwa kwa muda gani, maana tangu saa 12 jioni naona wanaomba tu radhi!!
Tcra haihusiki na magazeti,yenyewe inahusika na redio,televisheni na blogu tu
TCRA HAWAHUSIKI NA MAGAZETI, HAYO MSUBIRI MSAJILI WA MAGAZETI KAMA ATANENA CHOCHOTE, NINAVYOJUA KWA KUWA HAYO NI MAGAZETI YAO, HUTASIKIA YANAFUNGIWAHapa kuna tofauti gani au nayo ni sehemu ya kuendeleza udharimu na kutishia vyombo vya habari kuelekea uchaguzi mkuu kutotangaza habari za upinzaniView attachment 1549974View attachment 1549975
MSAJILI WA MAGAZETI/MAELEZOTanzaniaDaima ilifungiwa na nani?
Idara ya habari maelezoTanzaniaDaima ilifungiwa na nani?
Aibu kubwa sana !Hapa kuna tofauti gani au nayo ni sehemu ya kuendeleza udharimu na kutishia vyombo vya habari kuelekea uchaguzi mkuu kutotangaza habari za upinzaniView attachment 1549974View attachment 1549975
Yure mupe ....yure muruke...!!! Kunya anye kuku akinya bata kaharisha.....!!!....kuna tofauti kubwa kati ya mtoto wa ndoa na mtoto wa kufikiaHapa kuna tofauti gani au nayo ni sehemu ya kuendeleza udharimu na kutishia vyombo vya habari kuelekea uchaguzi mkuu kutotangaza habari za upinzaniView attachment 1549974View attachment 1549975
Tafuta kirefu Cha TCRA ndiyo utajuaKwa iyo magazeti sio chombo cha habari .?
Akili ya Rais Magufuli anaijua mwenyewe tu. Ambao bado wana mwamini bila shaka wana matatizo ya akili pia. Nyerere asingemvumilia. Double standard ya wazi wazi kabisa. Lakini mwenyewe hujifanya mnyenyekevu kuliko hata Yesu Kristo. Roho yake ina uovu wa hali ya juu. Double standard ilianza zamani mfano kwenye vyeti feki, hata aibu hana.Hapa kuna tofauti gani au nayo ni sehemu ya kuendeleza udhalimu na kutishia vyombo vya habari kuelekea uchaguzi mkuu kutotangaza habari za upinzani.
View attachment 1549974
View attachment 1549975