Acha aseme ukweliMojawapo ni Star Tv pia YouTube channels zote na magazeti. Vyombo vingine vipelekewe taarifa ya tahadhari, hasa vinavyorusha matangazo ya wachungaji wahuni wahuni
Ndiyo upuuzi wenu maccm ukweli mnaita uchochezi.Mojawapo ni Star Tv pia YouTube channels zote na magazeti. Vyombo vingine vipelekewe taarifa ya tahadhari, hasa vinavyorusha matangazo ya wachungaji wahuni wahuni
Ongeza sauti mwaandaji was sheria kandamizi ya habari na kanuni zake, hijasikika Wala kueleweka, Haki ikitwndeka hantahitaji kifanya tote hayo hats kutetea uovu kwa kunyamazisha watu.Mojawapo ni Star Tv pia YouTube channels zote na magazeti. Vyombo vingine vipelekewe taarifa ya tahadhari, hasa vinavyorusha matangazo ya wachungaji wahuni wahuni
Baba yako yupo hai? Unajua hata maana ya task force? Au ndio umbumbumbu na ushabiki maandazi wa kinyumbu.Mnaanza mambo ya mwendakuzimu mtakufa tu, haya fufueni na kile kikundi chenu cha kigaidi mnaita task force muendelee kuteka na kuua kama kawaida yenu
Hilo linatokea tz pekee🤔Kumbe kuongea ukweli ni uchochezi?