Ni kwenye kipindi cha asubuhi ya leo. Wakichambua kichwa vya habari kwenye gazeti la Majira kilichoelezea safari ya Mh. Mbowe barani ulaya wamemfananisha na mwanamke ambaye hajafanyiwa kitchen party ambayo humwelekeza mwanamke kutokutoa siri za ndani nje.
Kwa maana hii UKAWA wameolewa na CCM? Na pia ule mfano walioutoa juu ya mbwa kufukuza magari walikuwa wanamaanisha wabunge wanaoibua hoja juu ya ufisadi. Kwa maana nyingine ni kule kutokuchukuliwa kwa hatua stahiki kwa watuhumiwa ndo maana wakawafananisha na mbwa wanaofukuza magari?
Hili la watangazaji wa aina ya Kija kutubomolea amani yetu halikubaliki.
Kwa maana hii UKAWA wameolewa na CCM? Na pia ule mfano walioutoa juu ya mbwa kufukuza magari walikuwa wanamaanisha wabunge wanaoibua hoja juu ya ufisadi. Kwa maana nyingine ni kule kutokuchukuliwa kwa hatua stahiki kwa watuhumiwa ndo maana wakawafananisha na mbwa wanaofukuza magari?
Hili la watangazaji wa aina ya Kija kutubomolea amani yetu halikubaliki.