Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,762
- 4,576
Uzi huu hauna mahusiano na uzi mwingine humu jukwaani.
Wakazi wa Mtwara leo wamekuwa na taharuki iliyo wasababishia hasara kubwa baada ya taarifa zauongo za TMA kwamba leo kutakuwa na kimbunga.
Mpaka muda huu hakuna hata kiashiria cha kimbunga na leo wananchi wametumia gharama kubwa kukimbia kwenye kambi mbalimbali ili kujiokoa.
Wafanya biashara wengi wamefunga biashara zao, wafanya kazi leo hawajaenda kazini, wapo waliozimia kwa hofu pale Airport nk.
Kwakweli leo imekuwa kama siku kuu ya wajinga wa Mtwara, Tafadhali TCRA chukueni hatua kwa mamlaka ha hali ya hewa kwani wametudanganya sana, si Mtwara tu hata mikoa mingine imekuwa ikidanganywa sana na TMA.
Binafsi sijawahi kuona faida za TMA, tabiri zao ni kama ramli fulani mbona wenzenu wa NASA wanafanikiwa? TMA mna tatizo gani na mna jinadi kuwa mna vifaa vya kisasa?
TCRA wapigeni hawa faini ili siku nyingine wasikurupuke kutoa tahadhari zisizoeleweka.
Wakazi wa Mtwara leo wamekuwa na taharuki iliyo wasababishia hasara kubwa baada ya taarifa zauongo za TMA kwamba leo kutakuwa na kimbunga.
Mpaka muda huu hakuna hata kiashiria cha kimbunga na leo wananchi wametumia gharama kubwa kukimbia kwenye kambi mbalimbali ili kujiokoa.
Wafanya biashara wengi wamefunga biashara zao, wafanya kazi leo hawajaenda kazini, wapo waliozimia kwa hofu pale Airport nk.
Kwakweli leo imekuwa kama siku kuu ya wajinga wa Mtwara, Tafadhali TCRA chukueni hatua kwa mamlaka ha hali ya hewa kwani wametudanganya sana, si Mtwara tu hata mikoa mingine imekuwa ikidanganywa sana na TMA.
Binafsi sijawahi kuona faida za TMA, tabiri zao ni kama ramli fulani mbona wenzenu wa NASA wanafanikiwa? TMA mna tatizo gani na mna jinadi kuwa mna vifaa vya kisasa?
TCRA wapigeni hawa faini ili siku nyingine wasikurupuke kutoa tahadhari zisizoeleweka.