Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
chadema wamezoea kuishi kwa uongoUkisoma taarifa ya CHADEMA utagundua kuna shida upande wao maana hawajasema huyo afisa wa TCAA aliwaambia nini hasa sababu ya kuzuiwa kwao.
CHADEMA wanatakiwa kuwa waungwana. Walianza siku ya kurudisha fomu wakadai wamefika mapema wamewekwa chumba cha kusubiria wakiwa hawajui nini kinaendelea, kumbe wakijua uhakiki wa wadhamini ulikuwa ukiendelea baada ya wao kutofuata taratibu za kuhakiki wadhamini wao wakati wakizunguka.
Fuateni taratibu na muache uhuni, nani atakabidhi nchi kwa wahuni, wazushi na wapotoshaji?
hayo maswali ni kati ya chadema na waliowapa pesa state aviation,usituulize sisimiaka 65,
kwa mara ya mwisho RUBANI HUYO alirusha hiyo ndege tarehe ngapi?
Ni kwa mujibu wa taratibu na sheria., ivi ni kweli umeisoma barua yao kweli?Je, TCAA walifanya tathmini ipi ya huyo rubani wa zaidi ya miaka 65 kwamba atahatarisha usalama wa wasafiri?
Mara ya mwisho huyo rubani kurusha helicopter akiwa above 65 YO ilikuwa lini?
Subiri twente eiti okitoba itaongea shangaziAkili zenu milioni 10 kwa Lissu hamnusi.
Wenye kuuweka ubongo likizo ni wale wenye kumiliki helikopta ambao ndio waliowakodisha chadema kwa ajili ya kipindi cha kampeni.
Helikopta ikianguka na watu wakafa wa kwanza kulaumiwa ni Hamza na ofisi yake,hawezi kukubali mambo yajiendee tu kiholela.
Huyo hana hoja anaendekeza ubishi tu.Ni kwa mujibu wa taratibu na sheria., ivi ni kweli umeisoma barua yao kweli?
Hujui....Ninani mpuuzi hadi sasa?......Sijui.....Kifo 2015 na sheria ilianza 2017! Kama mmeshindwa kwenda na sheria hiOna hao sijui tcaa walivyowapuuzi huyu rubani slaa 2015 alikuwa na miaka mingapiView attachment 1565868
Huu ni UFINYU wa akili, na mazwazwa na mimi mbali mbali.
Hawa walishavurugika vichwa, as long as kitu kimeamliwa na serikali au mamlaka yake hata kama kina faida kwao watatafuta namna ya kuki twist wapate jinsi ya kulaumuMkuu BAK tuwape pongezi viongozi wa Mamlaka kumzuia huyo rubani kurusha chopa maana wangeruhusu na ajali ikatokea, siyo wewe wala viongozi wa CHADEMA wangekubali maelezo. Heri lawama kulika fedheha wahenga walinena
Kwa kupotosha na kupindisha mambo, CHADEMA na Msemaji wao ndio WENYEWE! Hata ukiwambia leo "mvua haikunyesha" hawatakubali ili mradi tu wapinge na kufikia maslahi na matakwa yao. TCCA, hao ndio CHADEMA na siku zote wanadhani WAO WANAJUA KILA KITU NA HAWAKOSEI. Kwa mentality hiyo hawakubali kushindwa na UKWELI. Halafu tunawashukuru TCAA kwa kanuni na taratibu nzuri kama hizo za kutotumia OLD AGED PILOTS. Kwani yakitokea yakutokea, Lissu na timu zake za upotoshaji watakuja na uongo kuwa wamehujumiwa!
Hiyo sio kazi yao, walichofanya ni kufuata sheria tu kwamba rubani over 60+ haruhusiwi kuendesha chopa basi!Je, TCAA walifanya tathmini ipi ya huyo rubani wa zaidi ya miaka 65 kwamba atahatarisha usalama wa wasafiri?
Mara ya mwisho huyo rubani kurusha helicopter akiwa above 65 YO ilikuwa lini?
Sheria za anga ndugu yangu. Walioweka sheria hii watakuwa walifanya utafiti ndo maana wakaja na sheria. Chadema mna nini? Mbona mnapenda kulazimisha mambo?Je, TCAA walifanya tathmini ipi ya huyo rubani wa zaidi ya miaka 65 kwamba atahatarisha usalama wa wasafiri?
Mara ya mwisho huyo rubani kurusha helicopter akiwa above 65 YO ilikuwa lini?
Kwani rubani alikataliwa kurusha hiyo chopa na nani? Si na mamlaka hiyohiyo? Wasipende kupindisha maneno.
Ndo hivyo hamkurusha ndege, nani mjanja hapa? Kojoa ukalaleHawana lolote wanamwogopa Tundu Lissu tu hawa!
Swali la kijinga sana hili unalouliza.
Akili ya nyumbu tu inaweza kuuliza such a questionKwa mwenye UFINYU wa akili tu.