Inategemea na unayemuamini. Yeyote kati yao anaweza kuwa muongo.Chadema ni waongo sana.
Umetoka kusuguliwa na sugu sio?Naona hapo ulimpiga baada ya kukufanyia faraga ya Lisu?
KimaChadema ni waongo sana.
MamamamamamayakeWambieni hao TCAA ni wapuuzi tu kama walivyo mbwa wa Lumumba walojaza matope ,ujinga, upumbavu ..
T.lissu na team yake sio wajinga, et kurekebisha Kibali iwachukue masaa manne .
Ukweli nikua MWAMBA TUNDU ANTIPHAS LISSU ALIAMUA MWENYEWR KWA MAKUSUDI KABISA, KUMUAMURU RUBANI WA CHOPA YAKE, KUONDOA MZIGO KAMA AMBAVYO ALIAMUA KUTUMIA MTUMBWI KUVUKA ZIWA.
HUYO NDIO LISSU.
SASA MAFALA WA TCAA WANALETA UPUMBAVU UPUMBAVU.. WAENDE WADANGANYE MAJINGA YA LUMUMBA..
Wee taahira la lumumba kakojoe ulale jinga wewePimbi
sijawahi ona pimbi mjinga ka wewe, yaani wewe ni mbumbu na mpumbavu ka si lijinga lililojaza kinyesi badala ya ubongo kichwani. Hivi huyo kibaraka wako anaoubavu wa kuruka bila kibali na asitunguliwe???? Msg sana kmm ako. Hata musoma huyo kibaraka wako baada ya kupakiza gari akatunga uongo wa kusema eti wamezuia, lijinga likubwa mnakubali kudanganywa pimbi wakubwa. Kuwa na watu ka wewe kuendelea kuishi ni hasara pimbi mkubwa bora mufe wajinga kabisa maana mnasadiki uongo ws nge wakubwa
Chadema ni kiwanda cha uongo
Wanatafuta kura za huruma.. Hawapati ng'o
Kama serikali yako inaamua kuzima internet nchi nzima bila sababu zozote za msingi isipokuwa tu kumwogopa Tundu Lissu na CHADEMA kutema cheche watashindwa nini kumfanyia hujuma kama hii ya kufanya flight tactical delayment pale KIA ili mradi tu ashindwe kufika kwenye mkutano muhimu DSM eti ili kumzulia lawama kwa melfu ya watu waliokuwa wanamsubiri uwanjani - DSM?Hakuna Rubani yeyote mwenye leseni na mwenye akili timamu atakayekubali kuruka bila idhini ya Mamlaka ya Anga! Kufanya hivyo maana yake ameamua kuondoka kwenye huduma ya kurusha ndege Kitaifa na Kimataifa!!