Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,617
- 34,062
Wadau,
Leo nimeona tujikumbushe na suala hili, moja ya kumbukumbu ni kwamba mchora katuni maarufu Masoud Kipanya siku Clouds TV wanafanya sherehe ya kuanza kuonekana DSTV, aliwaponda kupitia ukurasa wake wa facebook kwamba hawana kipindi chochote cha maana, ukishaangalia taarifa ya habari ndo basi tena
[HASHTAG]#Sasa[/HASHTAG] kaajiriwa na hao hao wenye vipindi vya ovyo
Leo nimeona tujikumbushe na suala hili, moja ya kumbukumbu ni kwamba mchora katuni maarufu Masoud Kipanya siku Clouds TV wanafanya sherehe ya kuanza kuonekana DSTV, aliwaponda kupitia ukurasa wake wa facebook kwamba hawana kipindi chochote cha maana, ukishaangalia taarifa ya habari ndo basi tena
[HASHTAG]#Sasa[/HASHTAG] kaajiriwa na hao hao wenye vipindi vya ovyo