zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 10,116
- 21,400
Mkuu 2011 nimemaliza chuo pia tena wakati huo naishi mikoa ya pembezoni mwa TanzaniaMkuu usidhani 2011 ni sawa na 2021, siku hizi karibu vitu vingi waweza pata jibunlake kupitia internet, Enzi hizo kupata tu huduma ya net ilibidi uende mjini na uwe mtaalam kidogo wa kutumia computer, alieniuzia aliniambia itakuwa ya china ila sikuona herufi za kichina yoyote
Huko nilishaendaga, sehemu hizo wanaziita Bureau de Change, ilikuwepo moja tu ninayoijua enzi hizo mkoa naoishi, usifikiri kila pesa wanabadilisha, kuna ubao huwa wanaandika fedha wanazobadili mfano dollar, euro, pound na nchi za majirani kama kenya, uganda, zambia, n.k. niliwapelekea ila jitihada ziligonga mwamba.
Sikuwa na ghetto ila nilikuwa na connections zangu za kunipa masaa kadhaa kufanya yangu kwa uhuru, bila connections mambo mengi utasota, Enzi hizo nina connection ya kupata hata gari ya kupigia misele kama nina elf 5 ya kujazia mafuta na hapo sikuwa hata na leseni.
Tatizo la Watanzania mna ile hali ya wivu ππ halafu wivu wenyewe ni kwenye mambo ya kitoto huko enzi tunaingia 20s,
Kusema hakukuwa na internet ni uongo, Mie nimetumia tumia ukiachana na za watu binafsi nilikuwa natumia za shirika la posta.
labda tuanzia hapa fm 6 umemalizia mkoa gani?
maana mimi niko mkoani, nilikuwa natimba benki nikipata hela imechanika. Nikipata hela kwenye makoti ya mtumba (kama la faisal ) naenda benki sasa ww form. 6 uwe na burungutu la hela ushindwe enda benki kuuliza