TBS YAKABIDHIWA CHETI CHA ITHIBATI YA UTOAJI HUDUMA ZA UTHIBITISHAJI MIFUMO YA KIMENEJIMENTI
Naibu Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mhe. Exaud Kigahe (Mb), akikabidhiwa cheti na Mratibu kutoka taasisi ya Huduma za Ithibati za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADCAS), Bw. Victor R. Mundembe (kushoto), katika hafla ya kukabidhiwa cheti cha ithibati ya utoaji huduma za uthibitishaji mifumo ya kimenejimenti cha TBS iliyofanyika tarehe 12 Mei, 2022 jijini Dodoma.
Naibu Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mhe. Exaud Kigahe (Mb), akikabidhiwa cheti na Mratibu kutoka taasisi ya Huduma za Ithibati za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADCAS), Bw. Victor R. Mundembe (kushoto), katika hafla ya kukabidhiwa cheti cha ithibati ya utoaji huduma za uthibitishaji mifumo ya kimenejimenti cha TBS iliyofanyika tarehe 12 Mei, 2022 jijini Dodoma.