Zanaco
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 1,621
- 1,581
Japan, Singapore, Hong Kong, Malaysia, UK, Germany, US,
Ukileta bidhaa kutoka kwenye nchi tajwa utapiga nazo picha Watu wamechoka pesa awana ndio Maana wafanyabiashara wanaingia bidhaa fake bei kitonga weki Moja unarudi kumunua kitu kile kile nadhani tatizo ni uchumi mbovu bora bidhaa used ya nchi tajwa hapo juu kuliko mzigo feki uliko kariakoo
Ukileta bidhaa kutoka kwenye nchi tajwa utapiga nazo picha Watu wamechoka pesa awana ndio Maana wafanyabiashara wanaingia bidhaa fake bei kitonga weki Moja unarudi kumunua kitu kile kile nadhani tatizo ni uchumi mbovu bora bidhaa used ya nchi tajwa hapo juu kuliko mzigo feki uliko kariakoo