Hii kampuni imekuwa ikiingiza mizigo/makinikia toka UK, cha ajabu vitu wanavyoviingiza kama used ni vibovu sana na asilimia 60 vinakuwa huwezi kuvitumia mpaka uwatafute mafundi huku yeye akiendelea kunadisha mnada ambao unafanyikaga online kila wiki na ofisini kwao mikocheni nyuma ya clouds.
Je, TBS kazi yao ni kuangalia ubora wa vitu kama magari tu na vyakula? Je wananchi wanaoletewa mizigo used toka ulaya hawana budi kukingwa na huu utapeli unaofanyika.
Pili ukinunua vitu kwao ukienda kulipia wanakupa lisiti ya TRA ambayo wameipunguza bei tofauti na uhalisia, TRA fuatilie mahesabu ya hii kampuni na bei anazouza ktk minada anayofanya tokea facebook kuna ukwepajinmkubwa sana wa kodi na ata vitu anavyouza ofisini kwao mikocheni mtagundua udanganyifu mkubwa sana wa kodi toka katika hii kampuni.
Mimi mmojawapo ni muathilika wa hili na ushaidi wa receipt niliyopewa ikiwa imepunguzwa bei halisi niliyonunulia vitu ninayo, na hata clip ya video inayoonesha bei halisi ya kununua hivyo vitu ninayo mkianzisha uchunguzi nitatoa ushirikiano.
Naambatanisha picha kuthibitisha ubovu wa bidhaa zao na lugha zao wanazotumia kuhalalisha ubovu wa vitu huku wakiwa hawana wasi wasi kuingiza vitu bibovu nchini
Je, TBS kazi yao ni kuangalia ubora wa vitu kama magari tu na vyakula? Je wananchi wanaoletewa mizigo used toka ulaya hawana budi kukingwa na huu utapeli unaofanyika.
Pili ukinunua vitu kwao ukienda kulipia wanakupa lisiti ya TRA ambayo wameipunguza bei tofauti na uhalisia, TRA fuatilie mahesabu ya hii kampuni na bei anazouza ktk minada anayofanya tokea facebook kuna ukwepajinmkubwa sana wa kodi na ata vitu anavyouza ofisini kwao mikocheni mtagundua udanganyifu mkubwa sana wa kodi toka katika hii kampuni.
Mimi mmojawapo ni muathilika wa hili na ushaidi wa receipt niliyopewa ikiwa imepunguzwa bei halisi niliyonunulia vitu ninayo, na hata clip ya video inayoonesha bei halisi ya kununua hivyo vitu ninayo mkianzisha uchunguzi nitatoa ushirikiano.
Naambatanisha picha kuthibitisha ubovu wa bidhaa zao na lugha zao wanazotumia kuhalalisha ubovu wa vitu huku wakiwa hawana wasi wasi kuingiza vitu bibovu nchini