mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
Wana JF,
Katika serikali makini TBS na TCRA wametuangusha sana kwa kuruhusu wizi wa kichina.
Anavyokuwa: watu ambao hawana fani yeyote ya ufundi, wamevamia mitaa na kulaghai watumiaji wa smart phone kuwa wanatengeneza kioo cha simu kwa kuweka liquid ambayo inakifanya kiwe imara, kwamba hakitaweza kuvunjika kwa urahisi. Wana machine za kutoboa vitu, wanawaonyesha kuwa kitu cha ncha kali hakiwezi kutoboa.
Kumbe in uongo mtupu, tena ni bahati mbaya sana hiyo dawa inayotumika ina kemikali kali sana ambayo haifai kwa matumizi ya binaddamu. Hicho kioo cha juu (touch screen) inakakamazwa tu hakuna uimara wowote.
Baada ya muda ikiguswa inavunjika vibaya full screen hakifanyi kazi tena, ambayo kama wasingeweka hiyo dawa ya mangumashi, ungeweza kuendelea kutachi hata kama kimevunjika vipande vipande kiasi cha kushindwa kuona vizuri.
Serikali kupitia vyombo hivi inalaumiwa kwa kuacha matapeli wasio na leseni kuendelea kuwaibia wananchi kwa udanganyifu huu.
Natoa rai kwamba, biashara za kitaalum inabidi TBS na TCRA waithibitishe ndio irihusiwe sio watu wanajibanza ukutani serikali haipokei chochote halafu watu wanaibiwa na wanaharibiwa vyombo vyao.
Touch inaweza kubadilisha kwa gharama nafuu, wakishaweka dawa hizi lazima uingie gharama ya kununua full screen badala ungenunua touch tu.
Katika serikali makini TBS na TCRA wametuangusha sana kwa kuruhusu wizi wa kichina.
Anavyokuwa: watu ambao hawana fani yeyote ya ufundi, wamevamia mitaa na kulaghai watumiaji wa smart phone kuwa wanatengeneza kioo cha simu kwa kuweka liquid ambayo inakifanya kiwe imara, kwamba hakitaweza kuvunjika kwa urahisi. Wana machine za kutoboa vitu, wanawaonyesha kuwa kitu cha ncha kali hakiwezi kutoboa.
Kumbe in uongo mtupu, tena ni bahati mbaya sana hiyo dawa inayotumika ina kemikali kali sana ambayo haifai kwa matumizi ya binaddamu. Hicho kioo cha juu (touch screen) inakakamazwa tu hakuna uimara wowote.
Baada ya muda ikiguswa inavunjika vibaya full screen hakifanyi kazi tena, ambayo kama wasingeweka hiyo dawa ya mangumashi, ungeweza kuendelea kutachi hata kama kimevunjika vipande vipande kiasi cha kushindwa kuona vizuri.
Serikali kupitia vyombo hivi inalaumiwa kwa kuacha matapeli wasio na leseni kuendelea kuwaibia wananchi kwa udanganyifu huu.
Natoa rai kwamba, biashara za kitaalum inabidi TBS na TCRA waithibitishe ndio irihusiwe sio watu wanajibanza ukutani serikali haipokei chochote halafu watu wanaibiwa na wanaharibiwa vyombo vyao.
Touch inaweza kubadilisha kwa gharama nafuu, wakishaweka dawa hizi lazima uingie gharama ya kununua full screen badala ungenunua touch tu.