Matendo Andrew
JF-Expert Member
- Apr 1, 2014
- 748
- 365
- Thread starter
- #21
ukiona povu yameisha ingia sumu mda wake umeisha
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukiona povu yameisha ingia sumu mda wake umeisha
Kaka kwamatumiz ya nyumban sawa sasa nauza chips mafuta ya alizeti au karanga inawezekanaje?Mafuta mengi yanayoingizwa na wahindi toka mashariki ya mbali siyo mazuri kwa afya baada ya muda Kansas, Figo , mtindio wa ubongo wengi wataathirika sana. Na Corona ikipita kidogo inakuwa sukuma mlevi.
Nunua mafuta ya alizeti ya hapa nchini au kama ni kuungia saga karanga.
AsanteNi brand gani?
Nakushauri waandikie email kupitia
info@tbs.go.tz au complains@tbs.go.tz
Weka details vizuri, jina la mafuta, emenunua wapi, wewe unapatikana wapi n.k nadhani watakujibu. Mimi nimeshatuma malalamiko yangu mara kadhaa na waliyafanyia kazi kiana.
Wana jengo kubwa sana dar, ukifika pale wanazungukazunguka tu mle utadhani wamepotea wanakokwenda, kumbe urasimu mtupu, hii nchi shida tu..sasa sidhani kamaTBS wameweka standards za namna ya kuyazalisha hayo mafuta kwa wazalishaji wakubwa na wale wadogo au kila mtu anapuyanga tu.......TBS tokeni huko mlipojificha mkaangalie ubora wa mafuta haya au mnasubiri hadi watu wapate madhara.
Hhahahaha.....mkuuu kumbe umewahi kuwadadisi, busy for nothing......Wana jengo kubwa sana dar, ukifika pale wanazungukazunguka tu mle utadhani wamepotea wanakokwenda, kumbe urasimu mtupu, hii nchi shida tu
Busy for nothingHhahahaha.....mkuuu kumbe umewahi kuwadadisi, busy for nothing......
Bila kuyataja haya malalamiko yako ni kazi bure. Nini unaogopa?Nimafuta namakampun makubwa tu Ila siwezi kuyataja
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Huu uzushu, no thanks inawahusu wote kwenye huu uziNimafuta namakampun makubwa tu Ila siwezi kuyataja
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Kuna dslike nilikutananayo kule juu ya kubeza sijahakiki Kama niyeyeHuyu jamaa wa kutoa dislike keshapita pande hizi....
Eti Kama wamepoteaWana jengo kubwa sana dar, ukifika pale wanazungukazunguka tu mle utadhani wamepotea wanakokwenda, kumbe urasimu mtupu, hii nchi shida tu
Ubora wa mafuta unatia mashaka. Mapovu yanashiria impurities. TBS mnasemaje?ukiona povu yameisha ingia sumu mda wake umeisha
Hahahaaa