Nikiongea kama Wakala wa forodha mzoefu kwa hili mmechemka kabla ya zoezi kuanza.
Swali ambalo najiuliza na hamjalitolea ufafanuzi ni kuhusu sheria ya bandari kuhusu ziku saba za mwanzo yani free day kutochaji storage je mna mkataba wowote na mamlaka ya TPA? endapo mtachelewesha ukaguzi wenu wateja wasilipe storage?
Maana sheria ya TPA now meli ikipaki tu system inaanza ku’count hata kama gari haijashuka kwenye meli gari imeshaingia au tunaita ku’carry in.
Utaratibu wenu wa zamani wa kwenda kukagua NIT kwa magari yasiyokaguliwa nje ya nchi ulikua mzuri sana! Mteja anatoa gari yake nje ya bandari na anapewa siku 21 awe ashalipeleka NIT kwa ajili ya ukaguzi na endapo halijakidhi viwango ataruhusiwa akalitengeneze ndani ya siku 21 awe ashalirudisha na anaambiwa halijafudhu hiki na hiki
Na likifudhu unapewa certificate kwa ajili ya usajiri.
Nisichoelewa ni kwamba endapo gari imefika na wakat mnalikagua likafeli je utaratibu upi unatumika kwa ajili ya kulitoa nje ya bandari na kuenda kulitengeneza?
Kwa maana magari ya local taratibu zake tofaut hapa nazungumzia ambaye bado hajakamilisha taratibu za kodi?
USHAURI WANGU
Wazo lenu ni zuri mno kwa ajili ya kuboresha uchumi wetu maana nilisikia mkisema mlikua mnapata %30 na kwa sasa mtapata %100 ila ingekua vizur zaid mngetumia utaratibu wa NIT wa zamani gari itoke awe nayo mwenyewe apewe na hizo siku kwa ajili ya inspection
Ili ipungue kero kwenu na kwa mawakala
Pamoja katika ujenzi wa taifa
P.o box 07
Dar es Salaam
Swali ambalo najiuliza na hamjalitolea ufafanuzi ni kuhusu sheria ya bandari kuhusu ziku saba za mwanzo yani free day kutochaji storage je mna mkataba wowote na mamlaka ya TPA? endapo mtachelewesha ukaguzi wenu wateja wasilipe storage?
Maana sheria ya TPA now meli ikipaki tu system inaanza ku’count hata kama gari haijashuka kwenye meli gari imeshaingia au tunaita ku’carry in.
Utaratibu wenu wa zamani wa kwenda kukagua NIT kwa magari yasiyokaguliwa nje ya nchi ulikua mzuri sana! Mteja anatoa gari yake nje ya bandari na anapewa siku 21 awe ashalipeleka NIT kwa ajili ya ukaguzi na endapo halijakidhi viwango ataruhusiwa akalitengeneze ndani ya siku 21 awe ashalirudisha na anaambiwa halijafudhu hiki na hiki
Na likifudhu unapewa certificate kwa ajili ya usajiri.
Nisichoelewa ni kwamba endapo gari imefika na wakat mnalikagua likafeli je utaratibu upi unatumika kwa ajili ya kulitoa nje ya bandari na kuenda kulitengeneza?
Kwa maana magari ya local taratibu zake tofaut hapa nazungumzia ambaye bado hajakamilisha taratibu za kodi?
USHAURI WANGU
Wazo lenu ni zuri mno kwa ajili ya kuboresha uchumi wetu maana nilisikia mkisema mlikua mnapata %30 na kwa sasa mtapata %100 ila ingekua vizur zaid mngetumia utaratibu wa NIT wa zamani gari itoke awe nayo mwenyewe apewe na hizo siku kwa ajili ya inspection
Ili ipungue kero kwenu na kwa mawakala
Pamoja katika ujenzi wa taifa
P.o box 07
Dar es Salaam