TBL website na financial statement - CEO wa DSE kazi yako ni nini??

Semilong

JF-Expert Member
Mar 5, 2009
1,712
219
kwa muda mrefu nimekuwa nikitafuta website ya TBL bila mafanikio yeyote

TBL ni kampuni ambayo iko listed kwenye DSE na wanachi waTZ wananuna shares kutoka TBL bila kujua hali ya kifedha ya TBL, bila kujua uongozi wa TBL na bila kujua dividend plociy ya TBL.

watu wengi wanananua shares TBL kutokana na kuzagaa kwa bia zao na ivyo kuashiria kuwa ni kampuni kubwa lakini ukiwauliza hali ya kifedha au uongozi hawaujui.

14. Directors and Management
Disclosure of age, qualification and relevant experiences for the preceding five years. DSE
kutokana na kipengele cha 14 cha DSE, TBL wanatakiwa wa disclose management yao, watakuwa wamedisclose kwa DSE lakini pia wananunuzi wa hisa wanatakiwa wawe wanajua uongozi wao. kwa hili wanatakiwa wawe na website yao na waweke uongozi wao online na kwenye financial statement ili uwe available kwa prospective buyers all time.
na kwa kuongezea mapungufu ya hii sheria - shareholders/prospective buyers wanatakiwa wawe wanajua renumeration package za hawa jamaa
15Financial Statements
Must be IFRS compliant and must have been audited by authorized auditor.
hii statement inatakiwa iwe online available all time kwa buyers.

25 Clear dividend policy
The Issuer to disclose clear dividend policy.
lazima wa disclose dividend policy kwa buyers. hii ni sababu ni tosha ya kuwa na website na financial statement.

CEO wa DSE unafanya kazi gani mpaka waTZ wanauziwa mbuzi kwenye gunia, au huu ndio ulevi wa madaraka au kutokujua unafanya nini??

najua kuwa parent company ya TBL yani SABMiller ina website na financial statement lakini hizo ni kwa ajili SABMiller iko listed JSE na LSE. SABMiller haiko listed DSE. WaTZ wananua shares za TBL na sio SABMiller

TBL iko listed DSE lazima itoe statement yake separately na sio kutumia group statement ya SABMiller kwa ajili hiyo haionyeshi TBL inaonyesha SABMiller
 
kwa muda mrefu nimekuwa nikitafuta website ya TBL bila mafanikio yeyote

TBL ni kampuni ambayo iko listed kwenye DSE na wanachi waTZ wananuna shares kutoka TBL bila kujua hali ya kifedha ya TBL, bila kujua uongozi wa TBL na bila kujua dividend plociy ya TBL.

watu wengi wanananua shares TBL kutokana na kuzagaa kwa bia zao na ivyo kuashiria kuwa ni kampuni kubwa lakini ukiwauliza hali ya kifedha au uongozi hawaujui.


kutokana na kipengele cha 14 cha DSE, TBL wanatakiwa wa disclose management yao, watakuwa wamedisclose kwa DSE lakini pia wananunuzi wa hisa wanatakiwa wawe wanajua uongozi wao. kwa hili wanatakiwa wawe na website yao na waweke uongozi wao online na kwenye financial statement ili uwe available kwa prospective buyers all time.
na kwa kuongezea mapungufu ya hii sheria - shareholders/prospective buyers wanatakiwa wawe wanajua renumeration package za hawa jamaa
hii statement inatakiwa iwe online available all time kwa buyers.

lazima wa disclose dividend policy kwa buyers. hii ni sababu ni tosha ya kuwa na website na financial statement.

CEO wa DSE unafanya kazi gani mpaka waTZ wanauziwa mbuzi kwenye gunia, au huu ndio ulevi wa madaraka au kutokujua unafanya nini??

najua kuwa parent company ya TBL yani SABMiller ina website na financial statement lakini hizo ni kwa ajili SABMiller iko listed JSE na LSE. SABMiller haiko listed DSE. WaTZ wananua shares za TBL na sio SABMiller

TBL iko listed DSE lazima itoe statement yake separately na sio kutumia group statement ya SABMiller kwa ajili hiyo haionyeshi TBL inaonyesha SABMiller
Nimeipenda observation yako. Nilikuwa naandika kitu fulani kuhusiana na DSE na kampuni zake ambazo zipo listed nilikutana na upuuzi huo. Yaani wanaficha details zao utazania ni private companies. Haya ndio tunayosema tunakimbilia kuiga wakati uwezo hatuna. Utawaona kesho asubuhi wnakurupuka.
 
Dar stockmarket surges as new CEO takes office
BOOKMARKPRINTEMAILRATING
By ABDUEL ELINAZA (email the author)
Posted Sunday, January 31 2010 at 11:02

Dar es Salaam Stock Exchange indices responded positively in the first three days of trading last week soon after news of the appointment of new chief executive officer, Gabriel Kitua.

The governing council appointed 46-year-old Mr Kitua, replacing Jonathan Njau, whose tenure has expired after serving two three-year terms.

The new chief joins the bourse from the Capital Markets and Securities Authority (CMSA) — the body that regulates the DSE, where he worked as director of research, policy, planning and information technology for seven years.

Both the Tanzania Share Index and All Share Index surged slightly to 932.76 and 1189.67 on Monday from 931.78 and 1189.2 of Friday respectively.

However, stockbrokers at DSE said it is too early to link the market behaviour with the appointment of the new chief, the third since the inception of the bourse, because the market “responds very little to such events,” according to Orbit Security chief head of corporate and research Fortius Rutabingwa.

He said the market was volatile at the beginning of the year and an upsurge trend is “driven by investors liquidity requirements — mainly to settle school fees.”

Orbit Security senior broker, Florian Kahabi concurred: “There is no relation between the CEO’s appointment and trading at the market as it is driven by supply.

“January is back-to-school month and parents are disposing their shares to offset fees obligations,” Mr Kahabi said.
DSE governing council chairman Peter Machunde said in a statement last week that the new CEO had the requisite skills and experience “to take the stockmarket forward in the next phase of its development.’

hawa ma-analyst wetu, eti there is no relation between the appointment of DSE ceo na surge.
Je kama watu walikuwa wanaogopa njau jinsi anavyoendesha DSE na wakawa wanasubiria wajue ceo mpya atakuwa wa aina gani.
sio CEO wa DSE peke yake, hata appointment ya new governer wa BOT inaweza ika-effect shares
 
cha ajabu DSE kupitia Njau huyo huyo, waliwashikia bango NICOL kuhusu masuala ya umri wa wafanyakazi wake ilhali hatujui wa TBL! Labda kukusaidia Kuna wakina Msuya ambao nathani wameshapita 70yrs already na bado wako madarakani ;). Pia makampuni kama TOL,TATEPA; TCC nazo zipo kimya hatujui a wala b!
 
Wakuu mnagusa pabaya!

Wapi pabaya hapo? Au mnataka kuwauzia wananchi shares kwenye gunia? Watanzania wanataka kununua shares kwenye haya makampuni na sheria ni lazima zifuatwe. Je unalolote la muhimu la kutueleza. As far as I know TBL na TOL ndio wako kwenye DSE kwa muda mrefu nafikiri tangu DSE ianze. Je wanaficha nini? Kama ni hivyo wafukuzwe kwenye DSE kwa sababu wengi tunategemea kuona facts kwenye web za hizo kampuni.
 
nimeacha mdomo wazi kwa mshangao. hivi jamani kuna kampuni nyingine yoyote iliyokuwa-listed at DSE yenye website?

nadhani kuna maelezo mengine kutoka kwenye mamlaka husika. kuna ambaye anaeweza kuyapata?
 
Sasa kama wanunua hisa hawajui chochote nani atakaye wajibika ku-disclose hizo informations?
 
Sasa kama wanunua hisa hawajui chochote nani atakaye wajibika ku-disclose hizo informations?

wanaotakiwa kuwajibika ni TBL lakini hili tatizo ni la mda mrefu na sio kwa TBL peke yake kwa hiyo ni dhairi kuwa DSE hawafanyi kazi yao, yaani kuhakikisha kampuni zote zinazooperate kwenye soko zinafuata sheria kikamilifu. kwa hiyo DSE wanatakiwa waadhibiwe kwa kutokufanya kazi vizuri.
 
Semi:
Nafikiri kitu cha maana ni kupata financial report ya kampuni-I mean website ni kidude cha kujiadvertise tu. Ama?
Shika hii report ya TBL ya mwaka wa 2008.
http://www.sabmiller.com/files/reports
/2008_annual_report_TBL.pdf


wanaotakiwa kuwajibika ni TBL lakini hili tatizo ni la mda mrefu na sio kwa TBL peke yake kwa hiyo ni dhairi kuwa DSE hawafanyi kazi yao, yaani kuhakikisha kampuni zote zinazooperate kwenye soko zinafuata sheria kikamilifu. kwa hiyo DSE wanatakiwa waadhibiwe kwa kutokufanya kazi vizuri.
 
Semi:
Nafikiri kitu cha maana ni kupata financial report ya kampuni-I mean website ni kidude cha kujiadvertise tu. Ama?
Shika hii report ya TBL ya mwaka wa 2008.
http://www.sabmiller.com/files/reports
/2008_annual_report_TBL.pdf
umeanza kwa kusema ni kampuni tano tu ambazo hazina website na sasa hivi unasema website ni kidude cha kujiadvertise
website sio kidude cha kujiadvirtise tu, kama unafikiri website ni kidude cha kujiadvertise then your are wrong....
website ni legal requirement, ni part ya disclosure kwa kampuni ambazo ziko listed kwenye stock exchange nyingi tu duniani na ndio maana unaona sabmiller wao wanawebsite

note: sabmiller haiko listed DSE ni TBL ndio wako listed kwenye DSE. Wana hisa wa TBL wanatakiwa wapate financial statement kutoka TBL na sio kwa mwanahisa mwenzao(sabmiller).

nimekuwa nikitembelea hiyo website ya sabmiller mara kwa mara na hiyo link uliyotoa ni archive ya sabmiller, kwa hiyo hapo hamna disclosure yeyote. hiyo link utaipata kwa ku-google tanzania breweries LTD, na haiji website ya TBL bali linakuja file la PDF straight away.

na hii statement ni ya year end 31/03/2008. what about year end 31/03/2009?? na sasa hivi tunatakiwa tuwe tunasubiria year end 31/03/2010?

embu angalia investors part ya sabmiller utaona hamna TBL lakini zambia, accra na wengine wapo http://www.sabmiller.com/index.asp?pageid=75
na hao accra + zambia brewery wameshatoa statement ya year end 31/03/2009 na miezi michache watatoa year end 31/03/2010.
kumbe ndio maana TBL hawajawekwa online kwenye hiyo investor part sambamba na accra na zambia.

siwezi kuamini kama unatetea hii kitu
 
siwezi kuamini kama unatetea hii kitu

Boss:

Sio eti ninaondoa hatiani kutoka kwa CEO wa DSE soko la mitaji. Infact, nakubaliana nawe juu ya ufanyaji kazi mbaya. Hoja langu ni kwamba ukosefu wa udhibiti wa makampuni sio reason ya kutuzuia kuwekeza kwa sababu kuna njia nyingine za kupata taarifa tunazohitaji kuwekeza.
 
Tbl hawana website kwa sababu ilishanunuliwa na submiller ya south africa.so kama unataka taarifa za tbl nenda kwenye website ya submiller/tbl.utapata taarifa zako zote ulizozitaka kuhusu tbl.
Mfano mwingine ni sbl huwezi kupata website yao kwani tayari wao ni subsidiary ya eabl, so ukitaka taarifa za sbl itakubidi uingie website ya eabl.
 
Wakuu TBL wao ndio wamelist kwenye DSE na sio SabMiller, hivyo TBL inabidi wacompliance na DSE requirements. Kama wengi mnavyosema kwamba SabMiller ni Parent and TBL ni subsidiary, hivyo kwenye London Stock Exchange SubMiller wanatakiwa waconsolidate Financial statement zao, na kuonyesha all entities one Financial statement that is IFRS requirement. However kwa TBL sababu wamelist kwenye DSE basi ni lazima wa disclose their Financial statement, ili kuonyesha assets, liabilities and Equity. Vile vile lazima waawambie wawakezaje wa Tanzania kwamba jee kampuni iko na afya kiasi gani. Wadisclose any subsequent events, explanation for ups and downs of Revenue.

Lazima waweke bayana wana debt kiasi gani? and lazima financial iwe katika form ya comparison. Niliuliza hili swali mwaka juzi wakati NMB ilipotaka kulist, nikasema kwamba what is their financial standing? Hakuna aliyejibu. Nikiuliza can someone justify TBL price per Share? Hakuna mtu aliyewai kufanya stock evaluation ya hizi kampuni. Hao wanaoitwa ma broker wamesoma degree zao za economics hawajawai hata kununua share kwenye vibua stock exchange. Then what are you expecting?

Stock price is not determine by only demand and supply, but there are many factors.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom