johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,777
- 141,651
Mkurugenzi wa TBK Mr Phillip Redman amesema kampuni yake ya Bia inalipa hadi sh bilioni 509 kwa mwaka kama kodi kwa serikali.
Phillip amesema kiasi hicho ni sawa na 2% ya pato la taifa hivyo wanajivunia mchango wao huo kwa taifa.
Kadhalika TBL wanatoa ajira kwa maelfu ya watanzania pia ndio wanunuzi wakuu wa shairi inayolimwa mikoa ya kaskazini mwa Tanzania.
Source EATV
Maendeleo hayana vyama!
Phillip amesema kiasi hicho ni sawa na 2% ya pato la taifa hivyo wanajivunia mchango wao huo kwa taifa.
Kadhalika TBL wanatoa ajira kwa maelfu ya watanzania pia ndio wanunuzi wakuu wa shairi inayolimwa mikoa ya kaskazini mwa Tanzania.
Source EATV
Maendeleo hayana vyama!