mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,772
- 4,641
nimekua nikifuatilia uchaguzi wa Igunga kwenye televisheni mbalimbali toka asubuhi lakini cha kushangaza ile tunayoifahamu kama televisheni ya Taifa ndo kwaanza haitoi hata updates ya kinachoendela huko
je matokeo ya vituo mbalimbali yanayotangazwa ndo yanawakatisha tamaa kutangaza habari za uchaguzi huu mdogo huko Igunga???
Je kaka mkubwa kule Ikulu kapiga biti kutoa updates za uchaguzi???
je matokeo ya vituo mbalimbali yanayotangazwa ndo yanawakatisha tamaa kutangaza habari za uchaguzi huu mdogo huko Igunga???
Je kaka mkubwa kule Ikulu kapiga biti kutoa updates za uchaguzi???