Leo TBC ilipokua inatangaza shughuri ya CDM kumtunuku Sabodo ilianza kuongele mapasuko wa uongozi ndani ya CDM badala habari ya kutunukiwa sabodo which means kama ingekua ni gazeti heading yake ingeandikwa hivi MTEI AKANA MPASUKO WA UONGOZI CHADEMA.
TV nyingine zote zilitangaza shughuri mahususi lakini TBC walitumwa pale kwenda kuulizia mpasuko wa kisiasa na kuifanya ndiyo habari ila siyo kutunukiwa sabodo. kweli hii TV ipo chini ya CCM.
Ni mtazamo tu
TV nyingine zote zilitangaza shughuri mahususi lakini TBC walitumwa pale kwenda kuulizia mpasuko wa kisiasa na kuifanya ndiyo habari ila siyo kutunukiwa sabodo. kweli hii TV ipo chini ya CCM.
Ni mtazamo tu