TBC1: Now available on DSTV

Kasheshe

JF-Expert Member
Jun 29, 2007
4,694
787
TBC wanaonyesha Watanzania kwamba kila jambo linawezekana!


Channel yao TBC1 sasa inaonekana kwa watumiaji wa DSTV popote Africa... kupitia channel no. 143. ya DSTv.

Kwa kweli mimi nawapongeza wenzetu hawa ambao wameona kwamba hakuna haja ya kuachwa nyuma bila sababu yoyote... Kudos Management & Staff of Tanzania Broadcasting Corporation.

Ingawa mawasiliano yalikatika muda mfupi baadaye... nadhani baada ya mkongo mkuu wa EASSy utakapokuwa umekamilika mambo yatakuwa mazuri.
 
TBC wanaonyesha Watanzania kwamba kila jambo linawezekana!


Channel yao TBC1 sasa inaonekana kwa watumiaji wa DSTV popote Africa... kupitia channel no. 143. ya DSTv.

Kwa kweli mimi nawapongeza wenzetu hawa ambao wameona kwamba hakuna haja ya kuachwa nyuma bila sababu yoyote... Kudos Management & Staff of Tanzania Broadcasting Corporation.

Ingawa mawasiliano yalikatika muda mfupi baadaye... nadhani baada ya mkongo mkuu wa EASSy utakapokuwa umekamilika mambo yatakuwa mazuri.

..kasheshe,

..two things, hii sio breaking news na pia sio issue ya siasa.
 
TBC wanaonyesha Watanzania kwamba kila jambo linawezekana!


Channel yao TBC1 sasa inaonekana kwa watumiaji wa DSTV popote Africa... kupitia channel no. 143. ya DSTv.

Kwa kweli mimi nawapongeza wenzetu hawa ambao wameona kwamba hakuna haja ya kuachwa nyuma bila sababu yoyote... Kudos Management & Staff of Tanzania Broadcasting Corporation.

Ingawa mawasiliano yalikatika muda mfupi baadaye... nadhani baada ya mkongo mkuu wa EASSy utakapokuwa umekamilika mambo yatakuwa mazuri.

Hongera zako Mzee Danstan Tido Mhando
 
Hivi TBC1 kama television ya Taifa, kwa nini isitoe wazi ratiba ya vipindi vyake kila siku ktk mtandao ili tuweze kuvifuatilia kwa makini? Tofauti na hapo naomba nifahamishwe iwapo labda kuna gazeti lolote la Tanzania linalotoa ratiba ya matangazo ya TBC1 kila siku.
 
Mkuu, ni kivipi hii ni Breaking News? TBC1 wako DSTV siku nyingi sana.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom