TBC1 na Channel Ten vituo vya TV vinavyoongoza kwa ufanisi

Pokeeni salamu moja kwa moja kwenye mada. Ni hakika hakuna vituo vyenye wafanyakazi wenye ubunifu wa vipindi bora kama TBC 1 na Channel Ten, nawapongeza sana, endeleeni hivyo hivyo na hasa tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu wa Madiwani, Wabunge na Rais.

Povu ruksa.
Hizo ni TV ni za ccm hazina mvuto zimebakia kutizamwa na wanavijiji na wazee wanaozeeka vibaya pekee
 
Hizo ni TV ni za ccm hazina mvuto zimebakia kutizamwa na wanavijiji na wazee wanaozeeka vibaya pekee
Ni wewe tu usiyejitambua ndiye usiyeangalia, lakini sisi wastaarabu, wasomi wa nchi hii ndio TV ambazo zina mwelekeo wa maadili ya Kitanzania
 
Pokeeni salamu moja kwa moja kwenye mada. Ni hakika hakuna vituo vyenye wafanyakazi wenye ubunifu wa vipindi bora kama TBC 1 na Channel Ten, nawapongeza sana, endeleeni hivyo hivyo na hasa tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu wa Madiwani, Wabunge na Rais.

Povu ruksa.
Unanikumbisha miaka ya nyuma kulikuwa na yule jamaa " Bingwa wa reverse " kama unamuwakilisha basi naunga mkono hoja
 
Ni wewe tu usiyejitambua ndiye usiyeangalia, lakini sisi wastaarabu, wasomi wa nchi hii ndio TV ambazo zina mwelekeo wa maadili ya Kitanzania

Ni kweli, sasa hivi maadili ya kitanzania ni unafiki na kumsujudia jiwe. Na hizo Tv ndio zinapandikiza kwa kasi huo ujinga ambao ww unauita maadili ya kitanzania.
 
Hakika nivituo bora sana hasa kile kipindi cha mshindo wa miaka 4 ya Rais JPM,kinanifanya ni tafakari sana na hali halisi ya mtaani wanyonge tunavyo kula mboga za majani kama mbuzi
Teh teh umenichekesha!

Lakini mkuu mboga za majani ndiyo mpango ujue. Mimi niliwahi kusepa kwa ndugu yangu kutokana na mapishi ya mke wake..yaani hawali mboga kabisa. Mafuta tele, ni wanga na nyama kwa kwenda mbele. Nikaona ulaji wa hovyo..nikaleta excuse nikasepa zangu.
 
Pokeeni salamu moja kwa moja kwenye mada. Ni hakika hakuna vituo vyenye wafanyakazi wenye ubunifu wa vipindi bora kama TBC 1 na Channel Ten, nawapongeza sana, endeleeni hivyo hivyo na hasa tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu wa Madiwani, Wabunge na Rais.

Povu ruksa.
Kudagadamdesa walahi!!!???
 
Very true, TBC1 wako vizuri sana wale jamaa contents kali, graphics kali, habari zao zinabalance vyama vyote dah, Wanastahili kupata tuzo ya superbrand afrika mashariki.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom