Hizo ni TV ni za ccm hazina mvuto zimebakia kutizamwa na wanavijiji na wazee wanaozeeka vibaya pekeePokeeni salamu moja kwa moja kwenye mada. Ni hakika hakuna vituo vyenye wafanyakazi wenye ubunifu wa vipindi bora kama TBC 1 na Channel Ten, nawapongeza sana, endeleeni hivyo hivyo na hasa tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu wa Madiwani, Wabunge na Rais.
Povu ruksa.