Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Habari wana jf
leo tumeona mechi ya simba na yanga (wabunge) live kutoka chanel ya tbc1 Televisheni yetu ya Taifa imekua rahisi sana kuonyesha mechi ya mpira wa miguu ya Wabunge kuliko kuonyesha kwa Watanzania nini kinaendelea Bungeni na watanzania kukiona live
Swali je hapa ndio Tanzania Tumefikia Wasiwasi niwanini mpaka kutoonyesha Bunge Live? Nini kimejificha nyuma ya Pazia?
leo tumeona mechi ya simba na yanga (wabunge) live kutoka chanel ya tbc1 Televisheni yetu ya Taifa imekua rahisi sana kuonyesha mechi ya mpira wa miguu ya Wabunge kuliko kuonyesha kwa Watanzania nini kinaendelea Bungeni na watanzania kukiona live
Swali je hapa ndio Tanzania Tumefikia Wasiwasi niwanini mpaka kutoonyesha Bunge Live? Nini kimejificha nyuma ya Pazia?