Elections 2010 TBC1 Live: Robert Mugabe yuko uwanja wa Uhuru kumpongeza Kikwete

Uswe

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
2,204
626
birds with same feathers fly together!

ROBERT MUGABE yule ambae wote tunamjua na tumemsoma mara nyingi yuko dar es salaam kupongeza kikwete.
 
birds with same feathers fly together!

ROBERT MUGABE yule ambae wote tunamjua na tumemsoma mara nyingi yuko dar es salaam kupongeza kikwete.

hakuja kwa sababu ni kikwete kashinda hata angekuwa Slaa, Mugabe angekuja.
 
mi nilihisi tu kuwa mgabe lazima angekuja maana huyu kiraza wetu ndo alikuwa akimpiga tafu kwenye misikosuko yake huko zibabwe
 
somewhere someone has to decide who to invite and who to invite not, kwa hili nani anaamua watu wa kuwaalika?

sitashangaa kwa baadhi ya nchi marafiki wasipoipenda sana hii, na si tu kwa sababu baadhi ya nchi wanaweza wasiipende sana ndo maana naona si sahihi, lakini Mugabe ni dikteta, kitendo cha kumualika tunajaribu kusema nini kwa dunia? tunakumbuka rais bashir alivyoalikwa kenya?
 
lakini Mugabe ni dikteta, kitendo cha kumualika tunajaribu kusema nini kwa dunia? tunakumbuka rais bashir alivyoalikwa kenya?

hii ni kwa mujibu wa nani? mugabe ni shujaa mpigania uhuru na kiongozi aliyesimama kuupinga ubeberu na unyanyasaji wa watu wanyonge wa zimbabwe kwa kupigania ardhi ya masikini.
 
lakini Mugabe ni dikteta, kitendo cha kumualika tunajaribu kusema nini kwa dunia? tunakumbuka rais bashir alivyoalikwa kenya?


hii ni kwa mujibu wa nani? mugabe ni shujaa mpigania uhuru na kiongozi aliyesimama kuupinga ubeberu na unyanyasaji wa watu wanyonge wa zimbabwe kwa kupigania ardhi ya masikini.

Simple - Mugabe ana sifa zote hizo. Ni dikteta ambaye pia ni shujaa mpigania uhuru na kiongozi aliyesimama kuupinga ubeberu
 
Nyerere alikua shujaa wetu, lakini kama angekua hai leo, akawa anaumiza, anaua, anafunga wanaompinga, akawa anatawala kimabavu, kama afanyavyo mugabe, bado nyerere tungeendelea kumwita shujaa?

sikia ndugu yangu, Mugabe wa miaka ya themanini sio Mugabe huyu wa leo, ni sawa tu na mtu. anaweza kuwa muumini mzuri wa dini leo, akawa shehe au mchungaji, kesho akakengeuka akaicha njia ya Mungu na kuwa jambazi, bado ataendelea kuwa muumini wa Mungu kwa sababu huko nyuma alikua hivyo? Mugabe amekengeuka, ameiacha njia iliyompeleka madarakani, wazimbabwe hawamtaki tena na anawatala kinguvu. . .simple HE'S A DICTATOR!
 
Ina maana Mugabe asingekuja kama slaa angekuwa ndie anaapishwa? Na Kibaki asingekuja basi b'se naye alichakachua kura?
 
Mtu anatambulika zaidi kwa sifa/wadhifa/wasifu alio nao kwa kipindi cha sasa au karibuni zaidi,hivyo Mugabe ni dictator.
 
Mimi sishangai bcoz Mtoto wa nyoka ni nyoka,......,Rafiki wa Dikteta ni dikteta,Recall Mussolin na Hitler
 
Nyerere alikua shujaa wetu, lakini kama angekua hai leo, akawa anaumiza, anaua, anafunga wanaompinga, akawa anatawala kimabavu, kama afanyavyo mugabe, bado nyerere tungeendelea kumwita shujaa?

sikia ndugu yangu, Mugabe wa miaka ya themanini sio Mugabe huyu wa leo, ni sawa tu na mtu. anaweza kuwa muumini mzuri wa dini leo, akawa shehe au mchungaji, kesho akakengeuka akaicha njia ya Mungu na kuwa jambazi, bado ataendelea kuwa muumini wa Mungu kwa sababu huko nyuma alikua hivyo? Mugabe amekengeuka, ameiacha njia iliyompeleka madarakani, wazimbabwe hawamtaki tena na anawatala kinguvu. . .simple HE'S A DICTATOR!

Sawa kabisa.
Mugabe wa enzi za zamani alikuwa shujaa - lakini sasa amezeeka sana na kupoteza akili. Wenzetu husema amekuwa senile. Senility ndiyo inayomwogofya kuachilia madaraka. Ana hofu za kizee na ana mchango hasi tu kwa nchi yake kwa sasa.
 
Back
Top Bottom