Tbc1 frequency not available!

CHUAKACHARA

JF-Expert Member
Jun 3, 2011
12,358
6,422
Wataalamu, naomba msaada, mimi ninatumia dish bado katika kupata matangazo ya TBC1, TBC1 haipatikani. Naomba mwenye kujua frequency anisaidie kama kuna mabadiliko. SHUKRANI.
 
kaka hakuna mabadiliko ya frequence wala symbrate,ila nahisi yategemea na receiver gani unatumia,na dish size gani,jana nimeipata kwenye mesh ya ft 8 na euro star mpeg 4 receiver bila shida kaka,maana wanaotumia media com 930 na dish za ft 6,kuipata ni tatizo kaka
 
kaka hakuna mabadiliko ya frequence wala symbrate,ila nahisi yategemea na receiver gani unatumia,na dish size gani,jana nimeipata kwenye mesh ya ft 8 na euro star mpeg 4 receiver bila shida kaka,maana wanaotumia media com 930 na dish za ft 6,kuipata ni tatizo kaka

Mr nictbb kwa uzoefu wako,je ni vigumu sana kupata Amos 5 satellite kwa dish la 90cm kwa Dar?
 
natumia receiver Gulf Star na nilichofanya ni kulichekecha dish( la 8) upya hadi nikaipata tena ingawa ilinipa shida kubalace kati ya kupata Channel Ten na TBC lakini hatimae zote nikazidaka hadi wa leo bila chenga
 
kuipata amos 5 kwa dish la cm 90 ni rahisi.

MR. MAVELLA Dish langu kwa sasa linatega Eutelsat 36A/B at 36 degrees. Je,ktk hyo setting ili niweze kuinasa AMOS 5,NIFANYEJE dish? Je nipandishe zaidi kutoka hapo lilipo bila kuzungusha au inabidi nzungushe tena dish? Na kama si kat ya hayo basi nielekeze muelekeo wake ukae vipi. Tafadhali.
 
kaka hakuna mabadiliko ya frequence wala symbrate,ila nahisi yategemea na receiver gani unatumia,na dish size gani,jana nimeipata kwenye mesh ya ft 8 na euro star mpeg 4 receiver bila shida kaka,maana wanaotumia media com 930 na dish za ft 6,kuipata ni tatizo kaka
Naweza pata wapi hiyo receiver kama yako?
 
kwenye matangazo kupitia satellite,ukubwa wa dish ndiyo kila kitu,tafuta dish la ku 135cm
 
MR. MAVELLA Dish langu kwa sasa linatega Eutelsat 36A/B at 36 degrees. Je,ktk hyo setting ili niweze kuinasa AMOS 5,NIFANYEJE dish? Je nipandishe zaidi kutoka hapo lilipo bila kuzungusha au inabidi nzungushe tena dish? Na kama si kat ya hayo basi nielekeze muelekeo wake ukae vipi. Tafadhali.

kuipata amos 5 mwelekeo wake dish linaangalia magharibi ulipo mwelekeo wa zuku kwa saa na dish liinuke juu kama nyuzi 10 toka iliko zuku.
 
dah jamani nasikia kuna mabadiliko ya frequence ya tbc kama kuna mtu kazipata naomba anijulishe
 
ni kweli wanadai wamebadirisha frquncy ila labda kwa wenye mpg4 wengine bado ni majanga tu hawa jamaa bwana wanashindwa hata na msumbiji
 
Hawa TBC1 wanatufanyia usanii fulani.Kimsingi wamepunguza nguvu ya signal na ndo walalahoi ambao ndo wengi wenye dishes ft 6 hawaipati channel hiyo.Mi nilifikiri electronics injinia aongezee signal ya channel hiyo ili kukidhi ile hoja ya Tv ya Taifa.Waache urasimu usio na maana.ITV,CH10 na TVM zinawashinda?
 
MABADILIKO NI YA KWELI NI KUANZIA TAR 9 AUGUST 2013.

1.SYMBOL RATE=3.072MS/s. HIVYO MATANGAZO YA TBC 1 YATAPATIANA NDANI NA NJE YA TANZANIA KUPITIA SATELITE YA INTELSAT 900-64.2'E
DOWN FREQUENCY; 3892 MHZ
SYMBOL RATE; 3.072 Mbps badala ya 4.445Mbps
FEC; 1.5( FORWARD ERROR CORRECTION)
POLARISATION; VERTICAL
 
MABADILIKO YA FREQUENCY ZA SATELITE TBC 1 KUANZIA TAR 9 AUGUST 2013.

1.SYMBOL RATE=3.072MS/s. HIVYO MATANGAZO YA TBC 1 YATAPATIKANA NDANI NA NJE YA TANZANIA KUPITIA SATELITE YA INTELSAT 900-64.2'E
DOWN FREQUENCY; 3892 MHZ
SYMBOL RATE; 3.072 Mbps badala ya 4.445Mbps
FEC; 1.5( FORWARD ERROR CORRECTION)
POLARISATION; VERTICAL

WAJULISHENI WADAU WANAOPATA SHIDA KUIPATA TBC1.
 
mabadiliko ya frequency za satelite tbc 1 kuanzia tar 9 august 2013.

1.symbol rate=3.072ms/s. Hivyo matangazo ya tbc 1 yatapatikana ndani na nje ya tanzania kupitia satelite ya intelsat 900-64.2'e
down frequency; 3892 mhz
symbol rate; 3.072 mbps badala ya 4.445mbps
fec; 1.5( forward error correction)
polarisation; vertical

wajulisheni wadau wanaopata shida kuipata tbc1.

sasa naweza kubadisha vp hizo frq mpya? Naomba maelekezo kama wewe ni mjuzi wa haya mambo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom