seedfarm
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 260
- 2,652
Baada ya Mwendazake television ya Taifa TBC sasa imeanza kubadilika, Katika kipindi cha Hadubuni Leo Mwandishi wa habari amewahoji manesi wastaafu wa muhimbili waishio Magomeni ambao walistaafu mwaka 2014 hawajalipwa mpaka leo
TBC wakati wa mwendazake kiligeuka chombo cha kusifu na kumwaga sera za kuwa mambo ni safi, madaraja na maisha ni mazuri
TBC ilitumia masaa 24 siku 7 kwa wiki kumsifia mwendazake kuwa Uchumi unakua
Leo kulikoni wanageuka? wanatafuta habari za watu Wasiolipwa pension
Je TBC walikuwa wanamuogopa mwendazake? au wamesoma upepo wa Mama wameamua kubadilika
TBC wakati wa mwendazake kiligeuka chombo cha kusifu na kumwaga sera za kuwa mambo ni safi, madaraja na maisha ni mazuri
TBC ilitumia masaa 24 siku 7 kwa wiki kumsifia mwendazake kuwa Uchumi unakua
Leo kulikoni wanageuka? wanatafuta habari za watu Wasiolipwa pension
Je TBC walikuwa wanamuogopa mwendazake? au wamesoma upepo wa Mama wameamua kubadilika