Zinedine
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 1,187
- 694
Tanzania ni Nchi ya ajabu sana, unaweza kufa bila siku zako kwa matukio yasiyofanana na level ya akili ya Binaadamu. Kwa mujibu wa Taarifa ya Habari ya TBC eti imepongezwa na SMZ(Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kwa kuripoti bega kwa bega tukio la kuzama kwa meli lililotokea katika eneo la Nungwi. Binafsi nilishangazwa sana na kujiuliza ikiwa kweli SMZ ndio hii au imeibiwa Password yake na TBC then wakatoa pongezi hizo. Wakati wengine tuliopoteza vipenzi vyetu tukiwa katika mgomo baridi na TBC kutokana na wao kurusha taarab na ndombolo wakati watu tukitaka kujua kinachoendelea hata kupata habari kupitia Aljazeera na BBC, eti serikali tunayoiamini ndo inafanya haya-msiba mkubwa huu jamani.