TBC yakanusha uzushi juu ya 'kifo' cha mtangazaji wake Gloria Michael

mugah di matheo

JF-Expert Member
Jul 28, 2018
6,276
12,335
Mkurugenzi mkuu wa TBC amekanusha habari zinazoenea mitandaoni zikihusisha tetesi kuwa mwandishi wa habari za biashara Gloria Michael amefariki. Taarifa kwenye platforms za Tbconline kwenye mitandao ya fb na instergram imeeleza.

Aidha, mkurugenzi huyo kwenye chapisho jingine kupitia kurasa hizo za TBC online amethibitisha vifo vya wafanyakazi wa wili moja ni mtangazaji Haonga na mwingine ni meneja tehema.

Pia mkurugenzi mawasaliano ikulu ndugu msigwa amethibitisha hilo kupitia ukurasa wake binafsi wa Facebook

Hili linakuja baada ya watu wasio wazalendo hasa Kigogo na Mange kuanza kuwazushia kifo baadhi ya wafanyakazi wa TBC


Waambieni TBC Tupo vizuri zaidi ya jana



Update
Gloria Michael amejitokeza hadharani kukanusha huo uvumi
Mnaouzusha huko Twitter
 
Hata kina Kikeke wanafanya kazi kutokea nyumbani kwa sasa na wanarusha matngazo kiroho safi
Jamani hili gonjwa lipo na tahadhari inatakiwa sana sio aibu
Hata kama halijazidi sana ila ni kujiangalia sana na Mungu atusaidie


Sent from my iPhone using Tapatalk
Hao nchi walipo IPO katika full lockdown lakini sisi bado hatujafika huko

Halafu broo sio kila homa ni corona
TBC bado hawajasema kuwa ni covid au la
 
Hao nchi walipo IPO katika full lockdown lakini sisi bado hatujafika huko

Halafu broo sio kila homa ni corona
TBC bado hawajasema kuwa ni covid au la

Ni kweli kabisa ila thadhari inatakiwa hata sisi huku hatukufungiwa mara moja ila mpaka hali ilipoanza kuwa mbaya zaidi lakini ikawa too late
Watu wanakufa sana jana tu 900
Kwa huko msisubiri ila fuateni masharti tu ya wataalamu na hii mitandao inasaidia sana
Kweli sio kila ugonjwa ni Corona lakini ndio ugonjwa uliopo sasa na kuumiza dunia stay safe


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Jamani nipo nyumbani ila niemepigiwa simu kupewa hii taarifa na wafanyakazi wenzangu ila sitatoa jina la hospital wanahisi wamepata mgonjwa wa korona pale hospital kwa sababu hizi.

1.Amekuja na mafua makali yasiyo muisha
2.Kifua kinamuuma ila akohoi
2.Ametoka south Afrika Miezi miwili iliyopita
3.Alikua na wasiwasi mwingi sana(inawezekana alishajua dalili) na alipofika hakuingia kwa daktari moja kwa moja aliomba apime malaria na alipoandikiwa kule maabara mtoa huduma akamuhoji ndo akagundua hizo taarifa hapo juu.

Baada ya kuelezwa hayo akamueleza asubiri haraka sana aliyempokea akaenda kumuita incharge kurudi hakumkuta ameondoka na ile kadi na waliokua nje wameeleza ametoka kwa wasiwasi kwa hatua za haraka.

Eneo alokaa limeanza fanyiwa usafi...

Jina la muhusika anaitwa Rajabu Mohammed Said,mrefu na mweusi pia ana sijda ,anaishi Vetinali....!

NB:Hawana uhakika kama ana korona ila wameshtushwa kwa kitendo cha kukimbia yule mgonjwa...na kama kweli atakua anayo basi watu wengi ameambukiza...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani nipo nyumbani ila niemepigiwa simu kupewa hii taarifa na wafanyakazi wenzangu ila sitatoa jina la hospital wanahisi wamepata mgonjwa wa korona pale hospital kwa sababu hizi.

1.Amekuja na mafua makali yasiyo muisha
2.Kifua kinamuuma ila akohoi
2.Ametoka south Afrika Miezi miwili iliyopita
3.Alikua na wasiwasi mwingi sana(inawezekana alishajua dalili) na alipofika hakuingia kwa daktari moja kwa moja aliomba apime malaria na alipoandikiwa kule maabara mtoa huduma akamuhoji ndo akagundua hizo taarifa hapo juu.

Baada ya kuelezwa hayo akamueleza asubiri haraka sana aliyempokea akaenda kumuita incharge kurudi hakumkuta ameondoka na ile kadi na waliokua nje wameeleza ametoka kwa wasiwasi kwa hatua za haraka.

Eneo alokaa limeanza fanyiwa usafi...

Jina la muhusika anaitwa Rajabu Mohammed Said,mrefu na mweusi pia ana sijda ,anaishi Vetinali....!

NB:Hawana uhakika kama ana korona ila wameshtushwa kwa kitendo cha kukimbia yule mgonjwa...na kama kweli atakua anayo basi watu wengi ameambukiza...

Sent using Jamii Forums mobile app
Khaaaaa...
Kawaza kuwekwa karantini fasta nakat hana hili wala lilee...
Sikuhiz ukienda hospital jipange kbsa, yaani n km unaenda polisi, jipange kulala selo...

Hizi siku omba sana gonjwa lolote lisikusogelee...
 
Kaona lufungiwa ni ujinga bora akale mwarobaini na shubiri mpk apone
Jamani nipo nyumbani ila niemepigiwa simu kupewa hii taarifa na wafanyakazi wenzangu ila sitatoa jina la hospital wanahisi wamepata mgonjwa wa korona pale hospital kwa sababu hizi.

1.Amekuja na mafua makali yasiyo muisha
2.Kifua kinamuuma ila akohoi
2.Ametoka south Afrika Miezi miwili iliyopita
3.Alikua na wasiwasi mwingi sana(inawezekana alishajua dalili) na alipofika hakuingia kwa daktari moja kwa moja aliomba apime malaria na alipoandikiwa kule maabara mtoa huduma akamuhoji ndo akagundua hizo taarifa hapo juu.

Baada ya kuelezwa hayo akamueleza asubiri haraka sana aliyempokea akaenda kumuita incharge kurudi hakumkuta ameondoka na ile kadi na waliokua nje wameeleza ametoka kwa wasiwasi kwa hatua za haraka.

Eneo alokaa limeanza fanyiwa usafi...

Jina la muhusika anaitwa Rajabu Mohammed Said,mrefu na mweusi pia ana sijda ,anaishi Vetinali....!

NB:Hawana uhakika kama ana korona ila wameshtushwa kwa kitendo cha kukimbia yule mgonjwa...na kama kweli atakua anayo basi watu wengi ameambukiza...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani nipo nyumbani ila niemepigiwa simu kupewa hii taarifa na wafanyakazi wenzangu ila sitatoa jina la hospital wanahisi wamepata mgonjwa wa korona pale hospital kwa sababu hizi.

1.Amekuja na mafua makali yasiyo muisha
2.Kifua kinamuuma ila akohoi
2.Ametoka south Afrika Miezi miwili iliyopita
3.Alikua na wasiwasi mwingi sana(inawezekana alishajua dalili) na alipofika hakuingia kwa daktari moja kwa moja aliomba apime malaria na alipoandikiwa kule maabara mtoa huduma akamuhoji ndo akagundua hizo taarifa hapo juu.

Baada ya kuelezwa hayo akamueleza asubiri haraka sana aliyempokea akaenda kumuita incharge kurudi hakumkuta ameondoka na ile kadi na waliokua nje wameeleza ametoka kwa wasiwasi kwa hatua za haraka.

Eneo alokaa limeanza fanyiwa usafi...

Jina la muhusika anaitwa Rajabu Mohammed Said,mrefu na mweusi pia ana sijda ,anaishi Vetinali....!

NB:Hawana uhakika kama ana korona ila wameshtushwa kwa kitendo cha kukimbia yule mgonjwa...na kama kweli atakua anayo basi watu wengi ameambukiza...

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkoa gani!?
 
Back
Top Bottom